Naona hapa wamethibitisha kwa vitendo kuwa maendeleo ni watu sio vitu 😄😄😄Balozi wa Marekani aliomba kukutana na vyama vyote vya siasa kwenye ofisi zao .Chadema wakaona aibu asifikie hapa wakasema mtu wao ataenda huko huko ubalozin
View attachment 1601061
Yale mapick-up yao moja tuu inajenga ofisi Kama hizo Mbili. Sijui wanakwamia wapi? Au n masharti ya sangoma?Balozi wa Marekani aliomba kukutana na vyama vyote vya siasa kwenye ofisi zao .Chadema wakaona aibu asifikie hapa wakasema mtu wao ataenda huko huko ubalozini
Pesa zote za ruzuku na michango zimeishia kuliwa wamebaki kijumba hiki cha kupangisha
View attachment 1601061
yawezekana ushirikina kabisaYale mapick-up yao moja tuu inajenga ofisi Kama hizo Mbili. Sijui wanakwamia wapi? Au n masharti ya sangoma?
Usipanic bro kwani ww ndio hujui Kiingereza?Endeleeni na upuuzi wenu, sisi tunasonga mbele kwa kishindo zaidi na safari hii mitano hii itakuwa bora zaidi
Kwani mwenzetu ukiongea lugha yako unaona aibu!?Wachina wanaongea kichina kila mahali na hawaoni aibu.
Hahaha you should be teaching him public communication , he seems to loose confidence every time he gets a guest who speaks English.That sentence is grammatically correct. I don't see anything wrong with it. His Excellency employed some art in his language while communicating to his fellow. This is called literature.
Umepata picha sasaKwani Bashiri ndo mgombea urais, aache kimbelembele...tunamtaka yule mzee wa "we are suppose""we are suppose""we are suppose"
CCM ni chama tawala hivyo kinawajibu wa kutoa muelekeoJana Katibu Mkuu wa CCM alikaririwa akiwahakikishia mabalozi kwamba uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanywa October 28 utakuwa huru na wa haki.
Miezi michache iliyopita Rais Magufuli alitoa kauli kama hii kwa mabalozi ikulu ya Dar. Kauli hizi zilitakiwa zitolewe na NEC na siyo chama cha siasa.
Je, kwa kutoa kauli kama hizi inatia taswira kwamba CCM ina maamuzi ndani ya Tume ya Uchaguzi?
Anaongea na mabeberu wa nini, wakati wanahujumu nchinyetu na wanamtumia LissuTarehe 15 Oktoba, 2020, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, atakutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Mazungumzo hayo yatafanyika Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nne asubuhi.
Vyombo mbalimbali vya habari vinaalikwa kufuatilia na kuhabarisha Umma katika mazungumzo hayo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
14 Oktoba, 2020
==========
UPDATE:
Mabalozi wameanza kufika ofisi ndogo za CCM, Lumumba
View attachment 1600879
View attachment 1600880
View attachment 1600881
View attachment 1600882
View attachment 1600883
[emoji1426]Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amempokea Balozi wa Marekani Tanzania Dkt. Donald J. Wright ambaye amefika katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lumumba jijini Dar es Salaam.
Tumemweleza balozi ukweli wa mamboAnaongea na mabeberu wa nini, wakati wanahujumu nchinyetu na wanamtumia Lissu
Hebu uweke hapa huo ukweli wa mambo wananchi tuujueTumemweleza balozi ukweli wa mambo
Kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki tofauti na bwana yule alivyoenda kusemaHebu uweke hapa huo ukweli wa mambo wananchi tuujue
Upotolo fcHebu uweke hapa huo ukweli wa mambo wananchi tuujue
Jambo jema n kuwa wewe mwenyewe umesema kuwa umeandika huo utopoloUpotolo fc