Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama anajua kwamba polisi wamekamata kwa utaratibu asingeongea hivi.
 
CCM wanambinu kali hapo wameligeuza la siasa ili polisi waonekane wamekosea

USSR
Prof Kindiki : Mimi ni Mwanasiasa kama Polisi wameuwa Watu washughulikiwe kwa mujibu wa sheria Kila Mtu atabeba Msalaba wake mwenyewe mimi siwezi Kujiuzulu Uwaziri
 
Hata hivyo wameshakula hasara, hata pocket money zimeisha, na ukumbi waliolipia muda wake umeisha, pia hata costa walizokodi muda waliolipia kukaa nazo umeisha, utabidi walipe tena
Serikali itazicheua hizo gharama.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemwagiza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Daniel Sillo kuzungumza na waziri wake, Hamad Masauni, ili kuona namna ya kuwaachia viongozi wa Chadema waliokamatwa mkoani Mbeya, akiwamo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.

Dk Nchimbi ameeleza hayo leo Jumatatu Agosti 12, 2024 alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Katoro iliyopo mkoani Geita anakoendelea na ziara yake akitokea mkoani Kagera.

Amesema alifanya jitihada za kuwatafuta viongozi wenzake wa vyama vingine vya siasa, ili wawe na mazungumzo kama vyama vya siasa, aliwasiliana na baadhi ya makatibu wakuu, hata hivyo alipata taarifa wengine wamekamatwa mkoani Mbeya.

"Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, ongea na Waziri, tunaomba muone uwezekano wa viongozi wa vyama vya siasa waliokamatwa kule Mbeya waachiwe huru.

"Mtupe nafasi na sisi wanasiasa tuzungumze, siyo mambo yote yanatatuliwa kisheria, mengine ni ya kisiasa," amesema Dk Nchimbi akimwelekeza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani aliyeambatana naye kwenye ziara hiyo.

Viongozi wanaodaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi ni Mbowe, Katibu Mkuu John Mnyika, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), John Pambalu na viongozi wengine wa baraza hilo.

Pia wamo viongozi wa Bavicha, Twaha Mwaipaya, Moza Ally, Deusdedith Soka na wengine.

Wengine wanaodaiwa kukamatwa ni Wakili Deogratias Mahinyila na waandishi wa habari wa Jambo Tv ambao ni Ramadhan Khamis na Fadhil Kirundwa.

Pia soma=> John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemwagiza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Daniel Sillo kuzungumza na waziri wake, Hamad Masauni, ili kuona namna ya kuwaachia viongozi wa Chadema waliokamatwa mkoani Mbeya, akiwamo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.

Dk Nchimbi ameeleza hayo leo Jumatatu Agosti 12, 2024 alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Katoro iliyopo mkoani Geita anakoendelea na ziara yake akitokea mkoani Kagera.

Amesema alifanya jitihada za kuwatafuta viongozi wenzake wa vyama vingine vya siasa, ili wawe na mazungumzo kama vyama vya siasa, aliwasiliana na baadhi ya makatibu wakuu, hata hivyo alipata taarifa wengine wamekamatwa mkoani Mbeya.

"Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, ongea na Waziri, tunaomba muone uwezekano wa viongozi wa vyama vya siasa waliokamatwa kule Mbeya waachiwe huru.

"Mtupe nafasi na sisi wanasiasa tuzungumze, siyo mambo yote yanatatuliwa kisheria, mengine ni ya kisiasa," amesema Dk Nchimbi akimwelekeza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani aliyeambatana naye kwenye ziara hiyo.

Viongozi wanaodaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi ni Mbowe, Katibu Mkuu John Mnyika, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), John Pambalu na viongozi wengine wa baraza hilo.

Pia wamo viongozi wa Bavicha, Twaha Mwaipaya, Moza Ally, Deusdedith Soka na wengine.

Wengine wanaodaiwa kukamatwa ni Wakili Deogratias Mahinyila na waandishi wa habari wa Jambo Tv ambao ni Ramadhan Khamis na Fadhil Kirundwa.

Pia soma=> John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
Mpaka waandishi wa habari wanakamtwa?
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemwagiza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Daniel Sillo kuzungumza na waziri wake, Hamad Masauni, ili kuona namna ya kuwaachia viongozi wa Chadema waliokamatwa mkoani Mbeya, akiwamo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.

Dk Nchimbi ameeleza hayo leo Jumatatu Agosti 12, 2024 alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Katoro iliyopo mkoani Geita anakoendelea na ziara yake akitokea mkoani Kagera.

Amesema alifanya jitihada za kuwatafuta viongozi wenzake wa vyama vingine vya siasa, ili wawe na mazungumzo kama vyama vya siasa, aliwasiliana na baadhi ya makatibu wakuu, hata hivyo alipata taarifa wengine wamekamatwa mkoani Mbeya.

"Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, ongea na Waziri, tunaomba muone uwezekano wa viongozi wa vyama vya siasa waliokamatwa kule Mbeya waachiwe huru.

"Mtupe nafasi na sisi wanasiasa tuzungumze, siyo mambo yote yanatatuliwa kisheria, mengine ni ya kisiasa," amesema Dk Nchimbi akimwelekeza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani aliyeambatana naye kwenye ziara hiyo.

Viongozi wanaodaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi ni Mbowe, Katibu Mkuu John Mnyika, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), John Pambalu na viongozi wengine wa baraza hilo.

Pia wamo viongozi wa Bavicha, Twaha Mwaipaya, Moza Ally, Deusdedith Soka na wengine.

Wengine wanaodaiwa kukamatwa ni Wakili Deogratias Mahinyila na waandishi wa habari wa Jambo Tv ambao ni Ramadhan Khamis na Fadhil Kirundwa.

Pia soma=> John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
Ccm wapo kwenye hatua ya kuhujumiana kwa maslahi yao kwa wao.Hivyo wasiwachefue wengine,wamalize yao kivyao.
 
Sawa ila mwenyekiti wa cdm walishafunga ndoa na chama tawala kwa kufutiwa kesi ya ugaidi na kuna madai ameongwa kama alivyosema Tundu.

Kilichofanyika pale mwenyekiti kujifanya wapo pamoja na kundi la Tundu akamatwe lengo kupoteza maboya watanzania.
 
Back
Top Bottom