Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amtembelea Mama mzazi wa Hayati Alphonce Mawazo kijijini kwake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Helena Yegera ambaye ni mama Mzazi wa Hayati Alphonce Mawazo , mtu aliyeuawa kinyama pengine kuliko binadamu yeyote nchini Tanzania , leo amepokea ujumbe mzito kutoka Chadema Makao Makuu ulioongozwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika .



Baadaye Msafara huo ukatembelea Kaburi la Kamanda Mawazo ambako kulifanyika dua ya kumuombea Hayati huyo .



Chadema imemhakikishia mama huyo ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Chikobe , Mkoani Geita kwamba INATAMBUA MCHANGO MKUBWA WA ALPHONCE MAWAZO KATIKA KUPIGANIA HAKI .

NO HATE NO FEAR .
 
Hizo hela za kunywa bia wakitoka hapo bora wamuachie huyo mama yetu kipenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…