Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa imemhakikishia jmn kwa uandishi huu CDM hamnamo kbsHelena Yegera ambaye ni mama Mzazi wa Hayati Alphonce Mawazo
View attachment 1736005
Chadema imemhakikishia mama huyo ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Chikobe , Mkoani Geita kwamba INATAMBUA MCHANGO MKUBWA WA ALPHONCE MAWAZO KATIKA KUPIGANIA HAKI .
NO HATE NO FEAR .
Mkuu, ulishawahi kukisoma au kukisikia kile kitabu kiitwacho "BADO MMOJA"? Watu wanakufa, lakini ujumbe wa "BADO MMOJA" hauishi!Sasa imemhakikishia jmn kwa uandishi huu CDM hamnamo kbs
Hujaelewa wapi mjomba tukusaidieSasa imemhakikishia jmn kwa uandishi huu CDM hamnamo kbs
Kuwa CDM wamemhakikishia Mama mawazo "hakusema uhakika huo ni upi" - mama anakosa hata dagaa afu eti mmemhakikishia - mnamuongezea machungu ya mwanaye tuHujaelewa wapi mjomba tukusaidie
Kama wewe ulivyo na machungu lisu anapumu halafu mzalendo kapendwa zaidiKuwa CDM wamemhakikishia Mama mawazo "hakusema uhakika huo ni upi" - mama anakosa hata dagaa afu eti mmemhakikishia - mnamuongezea machungu ya mwanaye tu
pole mkuuKuwa CDM wamemhakikishia Mama mawazo "hakusema uhakika huo ni upi" - mama anakosa hata dagaa afu eti mmemhakikishia - mnamuongezea machungu ya mwanaye tu
ataambukizwa nini ?Hana barakoa huyo bibi wa watu si ataakbukizwa?
Wahuni tu hao sense of humanity wangeweza kuionyesha kwenye msiba wa mama yake Zito kabwe ambae alikuwa Mwanachama waoGreat sense of humanity
Maambukiziataambukizwa nini ?
kulitokea nini kwenye msiba huo ?Wahuni tu hao sense of humanity wangeweza kuionyesha kwenye msiba wa mama yake Zito kabwe ambae alikuwa Mwanachama wao