Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Synonyms MP

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2024
Posts
320
Reaction score
346
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
 
Mbowe hawezi kila siku anahubiri suala la demokrasia alafu ukimwangalia yeye tu unagundua haijui demokrasia au anaijua ila yupo kwa maslahi yake binafsi.

Siasa imewekwa kama chambo tu ya kupigia hela. Watu wanaichukia sana CCM ila chadema imekosa agenda sahihi za kuitoa CCM. Inafika hatua watu wanaona basi acha wasubiri mkombozi labda ndani ya Ccm.

Kiufupi mbowe anachosha!
 
Mbowe hawezi kila siku anahubiri suala la demokrasia alafu ukimwangalia yeye tu unagundua haijui demokrasia au anaijua ila yupo kwa maslahi yake binafsi. Siasa imewekwa kama chambo tu ya kupigia hela. Watu wanaichukia sana CCM ila chadema imekosa agenda sahihi za kuitoa CCM. Inafika hatua watu wanaona basi acha wasubiri mkombozi labda ndani ya Ccm. Kiufupi mbowe anachosha!
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom