Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Mabadiriko ya kweli hayatakuja kutokea tukiwaendekeza wanasiasa aina ya Mbowe na Zitto, NEVER.
Hawa ni madalali tu
 
Mnyika aache upuuzi wa kumsusia tajiri anayemiliki chama chake. Aache ukuda kwenye kwenye mali za watu. Atuachie chama cha familia salama. Mbowe fukuza huyo Mnyika na Lissu.
 
Mbowe hawezi kila siku anahubiri suala la demokrasia alafu ukimwangalia yeye tu unagundua haijui demokrasia au anaijua ila yupo kwa maslahi yake binafsi. Siasa imewekwa kama chambo tu ya kupigia hela. Watu wanaichukia sana CCM ila chadema imekosa agenda sahihi za kuitoa CCM. Inafika hatua watu wanaona basi acha wasubiri mkombozi labda ndani ya Ccm. Kiufupi mbowe anachosha!

Kuna mtu mwenye uchungu na chadema "''ambae anatokea kwenye inner cycle ya chadema"" kwa Sasa wa kumzidi Freeman Mbowe.

To be true & correctly Kuna ambao WAMEAJIRIWA kazi yao Ni moja TU kuudhohofisha upinzani na wapo kwenye payroll ya serikali ya CCM............

Fear of unknown kwa mwenyekiti Freeman Mbowe Ni kuachia ngazi hili hato ruhusu mpaka ahakikishe anakiacha chama kwenye mikono SALAMA
 
Kuna mtu mwenye uchungu na chadema "''ambae anatokea kwenye inner cycle ya chadema"" kwa Sasa wa kumzidi Freeman Mbowe.

To be true & correctly Kuna ambao WAMEAJIRIWA kazi yao Ni moja TU kuudhohofisha upinzani na wapo kwenye payroll ya serikali ya CCM............

Fear of unknown kwa mwenyekiti Freeman Mbowe Ni kuachia ngazi hili hato ruhusu mpaka ahakikishe anakiacha chama kwenye mikono SALAMA
Huyu aliyepugwa Risasi 16 na Leo ni kilema unasemaje?

Pesa na mali zinatafutwa vipi kuhusu mguu wa Lissu ataurudisha siku moja?
 
CHADEMA kwisha habari yao.Mwisho wa udalali wa kisiasa. Ni mwisho wa uchumia tumbo.
Lukas

Maadui wa taifa tulio aminishwa tangu Uhuru Ni UJINGA,UMASKINI NA MARADHI 😂😂

Kwa navyo ziona hoja zako inaonyesha moja ya maadui wa taifa la Tanzania na chadema pia imeongezea kwenye maadui wa taifa 😊😂

Poor! You
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Joined Yesterday

Ngoja tuone mwisho wako
 
Back
Top Bottom