Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
hata hivyo mnyika alikua bado hastahili kua katibu mkuu wa chama,

ni mwepesi na mlaini mno katika nafasi ile. Na hii tetesi ni kwa ndani ni dhahiri kabisa kuna hiyo hali inatamalaki ndani ya haka kachama 🐒
 
Kuna mtu mwenye uchungu na chadema "''ambae anatokea kwenye inner cycle ya chadema"" kwa Sasa wa kumzidi Freeman Mbowe.

To be true & correctly Kuna ambao WAMEAJIRIWA kazi yao Ni moja TU kuudhohofisha upinzani na wapo kwenye payroll ya serikali ya CCM............

Fear of unknown kwa mwenyekiti Freeman Mbowe Ni kuachia ngazi hili hato ruhusu mpaka ahakikishe anakiacha chama kwenye mikono SALAMA
What if (I'm just saying what if) Mr Chairman naye yumo kwenye hiyo payroll, huku makubaliano ni kwamba yeye anachuma pesa ilhali Sisiemu yenyewe inavuna utawala?

Impossible, right?
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
mtu yupo kwenye mapumziko ya ndoa mnaleta ujinga hapa
 
Moja kati ya mambo yaliyonishangaza ni HAYATI MAGUFULI kutumia nguvu kubwa kuiua CHADEMA....

wape uhuru nje na ndani utaziona rangi zao.
Hakuwa na lengo la kuiua bali kuiweka pembeni kama isingebadilika kwa sababu haina jipya lenye tija kwa taifa.

Ruzuku ikituna kwao, wako radhi kuucheza wimbo wowote wa chama tawala.
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
CHADEMA inakwisha kama ilivyoaanza
 
Kife tu tuanze tena, maana wananchi wengi kwasasa tumepiteza matumani na chama hicho.

Wengine hatukiungi mkono CCM lakini hatuoni mbadala wake kwa sasa.
Chama cha upinzani kitachoingoa CCM, bado hakijazaliwa. Ni mpaka CHADEMA kife ndio chama cha ukombozi kitazaliwa.
 
Back
Top Bottom