Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunasubiri , pia pole Sana .na heka heka za uchaguzi.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Rudisha furaha ile ya zamani. Ndo siasa. Mbowe kakubali wewe ni nani hata uendelee kuumia.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Hujui kitu, Shut Up!Kinyonge sana zamani ulikuwa unaanza na shamra shamra kama "dunia kusimama kusubiria jina la katibu mkuu"🐼
Jiandae na Nchi itaongozwa na hao unaitwa wehu..Atakuwa lema, chadema sasa itaongozwa na wehu watupu
Wengi humu mna uwezo mdogo sana wa kuelewaRudisha furaha ile ya zamani. Ndo siasa. Mbowe kakubali wewe ni nani hata uendelee kuumia.
Mnyika hafai kubaki lakini ndiye Katibu mkuu pendekezwa...Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
unaita werevu wehu!, una akili kweli?Atakuwa lema, chadema sasa itaongozwa na wehu watupu
mnyika apumzike zama zake zimepitaTwende na JJ Mnyika
ntashukuru Mungu wakinichagua mimi fimboyaukwaju kuwa katibu mkuuTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Hivi mkuu yule msemaji wa chadema somebody Makene yupo wapi??Wengi humu mna uwezo mdogo sana wa kuelewa
Weweeee Watu wa system wanao msapoti Lissu wamemwambia asimame na Mnyika katika Katibu mkuu.Mnyika atasaidia sana kwenye maamuzi ya RomaMnyika hafai kubaki lakini ndiye Katibu mkuu pendekezwa...
Makene hayuko Chadema kwa miaka mingi, sijui alikoHivi mkuu yule msemaji wa chadema somebody Makene yupo wapi??