Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
Hongera sana kwa taarifa mpyampya kutoka kwako kila mara.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
Godbless?
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
Mnyika hafai kubaki lakini ndiye Katibu mkuu pendekezwa...
Katibu Mkuu atakuja kuwa Godbless Lema
tundu lisu akimteua john mnyika kuwa katibu Mkuu wa chadema, basi amteue godbless Lema kuwa katibu mkuu msaidizi au naibu katibu mkuu kwa upande wa tanganyika. akimteua godbless Lema kuwa katibu Mkuu wa chadema, basi amteue mnyika kwenye nafasi nyingine yoyote ile hapo makao makuu, asimuache nje john mnyika, bado anahitajika sana ndani ya chadema kwa sasa.
 
Back
Top Bottom