Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Apumzike kidogo nae sio kunakua na mambo mazito anaingia mitini ananjifanya yupo kwenye mfungo.Twende na JJ Mnyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike kidogo nae sio kunakua na mambo mazito anaingia mitini ananjifanya yupo kwenye mfungo.Twende na JJ Mnyika
Hongera sana kwa taarifa mpyampya kutoka kwako kila mara.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Msigwa si yupo ccm?Lema au Msigwa...
Nafikiri abaki kwanza, then Naibu KM Bara awe LemaMnyika hafai kubaki lakini ndiye Katibu mkuu pendekezwa...
Ya nchi na ya ccm.katiba ipi?
Iiih , u- pilipili umesababisha kukohoa, huko ni wapi Tena eti wajameni ?Jamani hapa Lumumba viti havikaliki bata la Dodoma limeingia shubiri
wamuache JJ Mnyika akagombee jimboLema atafaa kwa sasa mnyika awe naibu bara kama atataka lkn sio lazima,
Godbless?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Shubiri inasuburi..Ni upu.puJamani hapa Lumumba viti havikaliki bata la Dodoma limeingia shubiri
Ila Msigwa kule kilikwenda kivuli chake tu moyo ulibaki huku !Msigwa si yupo ccm?
Hivi huu umbeya huwa unawasaidia nini lakini?Weweeee Watu wa system wanao msapoti Lissu wamemwambia asimame na Mnyika katika Katibu mkuu.Mnyika atasaidia sana kwenye maamuzi ya Roma
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Mnyika hafai kubaki lakini ndiye Katibu mkuu pendekezwa...
tundu lisu akimteua john mnyika kuwa katibu Mkuu wa chadema, basi amteue godbless Lema kuwa katibu mkuu msaidizi au naibu katibu mkuu kwa upande wa tanganyika. akimteua godbless Lema kuwa katibu Mkuu wa chadema, basi amteue mnyika kwenye nafasi nyingine yoyote ile hapo makao makuu, asimuache nje john mnyika, bado anahitajika sana ndani ya chadema kwa sasa.Katibu Mkuu atakuja kuwa Godbless Lema
Bado sijapewa jina, ila ningependa awe mtu mnoko hivi, Ili tuheshimiane, kuna haja ya kukomesha utekaji kwa vitendoGodbless?