Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kazi na sala Evelyn 😀😆😃Apumzike kidogo nae sio kunakua na mambo mazito anaingia mitini ananjifanya yupo kwenye mfungo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi na sala Evelyn 😀😆😃Apumzike kidogo nae sio kunakua na mambo mazito anaingia mitini ananjifanya yupo kwenye mfungo.
Yule wa kulala makanisani kipindi cha maandamano hatakiwi tena!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
"Katiba ni kijitabu tu" Samia Suluhu.Chadema haiwezi kuvunja katiba ya Nchi kama ccm
Maombi ni muhimu ili maridhiano yatekelezeke. CHADEMA huwa tunasema tunaanza na Mungu na kumaliza na Mungu.Yule wa kulala makanisani kipindi cha maandamano hatakiwi tena!
Hicho kitakuwa ni chama au genge la wahuni.Atakuwa lema, chadema sasa itaongozwa na wehu watupu
Wampitishe huyohuyo ndio safi mpaka bibi kizee mvaa saa ya milioni mia Moja ianze kumpwaya .Katibu Mkuu atakuja kuwa Godbless Lema
Wahuni ndiyo wamekubalika Jana na Mkutano Mkuu wa CHADEMA kuongoza chama.Hicho kitakuwa ni chama au genge la wahuni.
kama ndiyo hivi basi ateuliwe godbless Lema kuwa katibu mkuu wa chadema, ikiwezekana tundu lisu amuombe john mnyika akubali kuwa naibu katibu mkuu wa chadema kwa upande wa Tanganyika. tafadhali penyeza haya maoni yetu ili yamfikie tundu lisu huko ndani wakati wanapoendelea na mchakato wa uteuzi wa viongozi wengine wa chama hichoBado sijapewa jina, ila ningependa awe mtu mnoko hivi, Ili tuheshimiane, kuna haja ya kukomesha utekaji kwa vitendo
sasa nani atakuwa katibu mkuu wa chadema?
Atavuna anachopanda"Katiba ni kijitabu tu" Samia Suluhu.
HayaRasmi nimejiunga na Team chadema ingawa sina kadi na sihitaji kuwa na kadi.
Habari ziwafikikie Tindo Erythrocyte Mshana Jr na Lucas Mwashambwa , mama D
ok sawa, lakini kwa godbless Lema ingekuwa vizuri zaidi. kungekuwa na combination hatari ya kikosi hatari sana Cha 'mauaji.'Katibu Mkuu anaweza kuwa Amani Golugwa,kwa sasa ni Katibu wa Kanda ya Kaskazini na Meneja Kampeni wa TAL kwenye uchaguzi mkuu 2020,ni mtu makini sana na mtulivu pia
smart people.Makene hayuko Chadema kwa miaka mingi, sijui aliko