Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
Umeondoka na Mbowe wako? Kuanzia leo hutakuwa Tena na taarifa nyeti za nzani Mr Boni Yai
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
POLE SANA KWA ANGUKO LA MUMEO NJAA INATAMALAKI KWAKO SASA LISSU HATAKI UJINGA
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
Inasemekana Sugu.
 
Mjitahidi awe Muislamu. Ni wakati wa chama kuanza kuondokana na picha waliyokuwa nayo ya kuwa chama cha wWakristo.
Acheni hizo...

CCM kamati Kuu yake na Halmashauri Kuu ina waislamu wengi mbona hamsemi chama cha waislamu?

Kila wakati CHADEMA inahamishiwa goli. Wamemalizana na propaganda za uchaga mnaleta mambo ya ukristo tena.
 
Atakuwa lema, chadema sasa itaongozwa na wehu watupu

Hii ni nchi ya wehu. Raisi mzima anaenda Dodoma kwenye vikao vya Chama na ku surprise watu na makamu kama kiki za kisanii. Hakuna uwazi nani kampendekeza na kwa utaratibu upi inawezena ni chaguo la Abdul!. Wana waalika machawa na wasanii wajinga jinga. Chadema imeheshimisha kwamba kumbe kuna Watanzania wanataka demokrasia
 
Back
Top Bottom