Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Za chini ya kapeti eti Yericko Nyerere ,,,,,, natania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM huwa inabadilika badilika. Leo wamemuweka Wassira makamu mwenyekiti. Mkikaza shingo shauri yenu.Acheni hizo...
CCM kamati Kuu yake na Halmashauri Kuu ina waislamu wengi mbona hamsemi chama cha waislamu?
Kila wakati CHADEMA inahamishiwa goli. Wamemalizana na propaganda za uchaga mnaleta mambo ya ukristo tena.
Kaeni na Mbowe vizuri! Mliyempa chama ni mkimbizi Kuna siku atawaachia chama chenu, mtakosa wa kumkimbilia!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Mkimbizi kutokea nchi gani bwana? Punguzen ramli za ajab ajabKaeni na Mbowe vizuri! Mliyempa chama ni mkimbizi Kuna siku atawaachia chama chenu, mtakosa wa kumkimbilia!
Haijawahi.Napendekeza awe mwisilam ili kubalance chemistry
Vizuri mkuuTuko pamoja na mimi nahitaji hii kadi.
Sio mwenye uwezo?Napendekeza awe mwisilam ili kubalance chemistry
Muliyoiuza Ngorongoronchi gani
hapana, mnyika bado anahitajika sana kuwepo kwenye top management ya chademaMnyika hafai!
Alishiriki kuwapeleka kina Mdee bungeni
Sina Mashaka nayehapana, mnyika bado anahitajika sana kuwepo kwenye top management ya chadema
yes, hata mimi binafsi sina mashaka naye. bado anafaa aendelee kuwa kwenye top management ya chademaSina Mashaka naye
Rudisha furaha ile ya zamani. Ndo siasa. Mbowe kakubali wewe ni nani hata uendelee kuumia.Wengi humu mna uwezo mdogo sana wa kuelewa
Nani aliteuliwa?Sina Mashaka naye