Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Pre GE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA kutangazwa mchana huu. Nani kumrithi John Mnyika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acheni hizo...

CCM kamati Kuu yake na Halmashauri Kuu ina waislamu wengi mbona hamsemi chama cha waislamu?

Kila wakati CHADEMA inahamishiwa goli. Wamemalizana na propaganda za uchaga mnaleta mambo ya ukristo tena.
CCM huwa inabadilika badilika. Leo wamemuweka Wassira makamu mwenyekiti. Mkikaza shingo shauri yenu.
 
KATIBU MKUU CHADEMA KUTANGAZWA

1737555363651.jpeg
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu

Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.

Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa

Usiondoke JF
Kaeni na Mbowe vizuri! Mliyempa chama ni mkimbizi Kuna siku atawaachia chama chenu, mtakosa wa kumkimbilia!
 
Godbless Lema, mbona ilijulikana mapema tu baada ya Lissu kushinda
 
Back
Top Bottom