implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Hivi kwanini makatibu huwa hawagombei,?na je utaratibu ukoje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hapa nilipo ni kama nakuona vile. Cdm wasilogwe tena wakaingia kwenye siasa za kibwege za kusifiwa eti wana busara.Hicho kitakuwa ni chama au genge la wahuni.
Inawezekana,lkn itabaki pale pale kwamba hulka na tabia zao ni tofauti.Unaweza kukuta Mbowe na Lissu kitu kimoja Yale maigizo kuwapiga chenga watesi wa Mbowe.
Labda alipewa mashariti magumu ... ilibidi aigize kutii mashariti.
Aliingia mitini bana 😁Kazi na sala Evelyn 😀😆😃
Lema ni mtu wa mikikimikiki na si mtu wa kukaa ofisini,mwenyewe amesema hawezi,Amani atafaa sana,na naibu wake awe Gaston Garubimbiok sawa, lakini kwa godbless Lema ingekuwa vizuri zaidi. kungekuwa na combination hatari ya kikosi hatari sana Cha 'mauaji.'
Erythrocyte ameonyesha ukomavu sana kutoonyesha upande wake kwa miamba miwiliTunasubiri , pia pole Sana .na heka heka za uchaguzi.
Kwa hakika atapumzika kwani hii hapa safu ya LissuApumzike kidogo nae sio kunakua na mambo mazito anaingia mitini ananjifanya yupo kwenye mfungo.
Lema anweza kuchukua nafasi ya MremaLema ni mtu wa mikikimikiki na si mtu wa kukaa ofisini,mwenyewe amesema hawezi,Amani atafaa sana,na naibu wake awe Gaston Garubimbi
Niliweka wazi kwamba niko Chadema tuErythrocyte ameonyesha ukomavu sana kutoonyesha upande wake kwa miamba miwili
Kwa maoni yangu Mnyika bado ni option nzurisasa nani atakuwa katibu mkuu wa chadema?
Maana Lissu na Mbowe wote Wana uimara na udhaifu wao. Ila wote tunawahitaji.Niliweka wazi kwamba niko Chadema tu
Mnyika hafai!Twende na JJ Mnyika
Unawaza kama Mimi. Ukatibu siyo mambo ya jukwaani Bali mipango Ofisini.Kwa maoni yangu Mnyika bado ni option nzuri
Hakushiriki.Mnyika hafai!
Alishiriki kuwapeleka kina Mdee bungeni
Mhm Slaa hapanaNi Lema!!
Ingawa binafsi ningependa Dr Slaa arudishiwe nafasi yake akiwa korokoroni.
Ni John Pambalu 😄Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Ulikuwa team Mbowe bhana tunajuaNiliweka wazi kwamba niko Chadema tu
Mkuu unatukosea.. Tutake radhi.. Kwanza ujue unatusumbua sana na nyuzi zako kila baada ya nusu saa unashusha nyuzi na tunasoma hizi comment ulitakiwa u, react positively kwa kujua kuwa zinasomwa ndiyo maana tunatoa comment why unatutusi??!! Why??Wengi humu mna uwezo mdogo sana wa kuelewa
HayaUlikuwa team Mbowe bhana tunajua