Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi

Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi

Acha wafanye but wangejua maisha haya yalivyo mafupi mno wasingemuonea mtu ,jana nilkuwa na DAS Handeni anampokea DC mpya baada ya Gondwe kipelekwa Temeke, tuliongea sana Mwlm Maige akasema leo asbh anaenda Dodoma kwenye mkutano wa CCM ,lakini kilichotokea Mungu ndoo anajua .Walikuwa watatu kwenye gari ya mbunge lakini kafa peke yake.

Tuwatendee watu yaliyo mazuri
 
Mnakera sana nyie watu kila mkitaja Waislam lazima mhusishe na Saccos la Kambarage Bakwata,

Acheni Kukashif Uislam kwa kuhusisha na ilo taka taka lenu la Muasisi
Waislam wa miaka hii wamelala Doro sanA! Sema mmetawanyika Sana na nyie hamn umoja ule...ule umoja mie ulikua unanitia wazimu Sana! Angalie mlipojikwaa mrudi..na Kama viongozi wenu wa Bwakata ndo wanafiki pigeni chini...
 
Kwa jinsi ule waraka ulivyo na ukweli mwingi, ningeshangaa sana kama asingekamatwa. Awamu hii inatakiwa watu wote kuwa makondoo tu. Ukiongea ukweli ni shida kubwa.
Atatoka tu.
 
Sawa kondoo mweusi
Kwa jinsi ule waraka ulivyo na ukweli mwingi, ningeshangaa sana kama asingekamatwa. Awamu hii inatakiwa watu wote kuwa makondoo tu. Ukiongea ukweli ni shida kubwa.
 
Kwa jinsi ule waraka ulivyo na ukweli mwingi, ningeshangaa sana kama asingekamatwa. Awamu hii inatakiwa watu wote kuwa makondoo tu. Ukiongea ukweli ni shida kubwa.
Huo waraka unapatikana wapi ofsa Basi tuusome!

Au huo waraka uligusa maeneo gani hadi Sheikh wetu anapata sulba kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom