Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi

Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi

Hapo wanasubiri reaction yetu wananchi, wakiona moto umekuwa mkubwa watasema wanamshikilia na ‘upelelezi’ unaendelea.
Hapa ndipo vyombo vyetu vya usalama hunichosha, unamshikilia vipi mtu pasi na kuwa na hati ya mashtaka dhidi yake?

Na hata upelelezi huo ukikamilika kila uchwao yanaibuka mashtaka mapya, BS.
Shemeji langu Hilo kwa comrade habib anga aka The bold
 
Sijui ni lini nchi hii waislam wataamka katika usingizi mzito daah! Inasikitisha kosa lile lile akifanya muislam anakamatwa na polisi lakini wakifanya dini nyengine sawa tu,kama waraka dini nyengine washatoa zenye kuhatarisha amani zaidi hiyo
 
Back
Top Bottom