Katibu Mkuu wa TEC ajitafakari kwa sababu anatajwa kuligawa Kanisa kisiasa kwa kushindwa kuzuia mahaba yake

Katibu Mkuu wa TEC ajitafakari kwa sababu anatajwa kuligawa Kanisa kisiasa kwa kushindwa kuzuia mahaba yake

Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania anafaa kujitafakari, kwasababu anatajwa kuacha majukumu yake ya kuhubiri neno la Mungu na kuhusika kuligawanya kanisa hilo kisiasa na kushindwa kuzuia mahaba yake ya kikabila dhidi ya mgombea uenyekiti wa chadema Taifa ambae ni wa kabila lake na ametoka kijiji kimoja na yeye.

Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania, anatumia wadhifa wake kushawishi kanisa, wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, wanachadema na wagombea wengine wa uongozi ndani ya chadema, kumuunga mkono mgombea anae mpenda yeye kwasababu za kikabila, na kua ndie mgombea wa baraza la maaskofu na waamini wa kanisa katoliki wanafaa kufuata hivyo, dhidi ya wagombea wasio wakatoliki na wasio wa kabila lake.

Ni muda muafaka sasa, katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kujitafakari mwenyewe, lakini pia kuwajibishwa na kanisa kwa kulichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, na kuliingiza kanisa katoliki kwenye siasa za ndani ya vyama vya siasa Tanzania.

Hii ni hatari kwa siasa, amani , utulivu na usalama wa Taifa letu changa 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.

Katiba inamzuia asifanye siasa yeye kama Mtanzania? Mbona Dr. Sulle anafanya siasa na hamsemi? Kinachotatiza hapa ni kuwa anafanya siasa ambazo ni impactful wakati Dr. Sulle anachukua kipaza sauti ili atukane na kufikiri amefanikiwa kitu.
Naona kama yale ya South America yanaweza kutokea Tanzania
 
Kwani mbona wapo viongozi wa dini ni ccm damu damu
wafuasi, washabiki na wanachama wa vyama vyote vya siasa nchini ni waamini wa dini mbalimbali nchini, right?

ikiwa ni hivyo,
vipi kiongozi wa dini moja wapo, mathalani dini yako, kiongozi akaanza kupigia chapua Chama Cha siasa apendacho yeye, na mgombea uongozi ampendae yeye, huku wewe ukiwa wa chama kingine ndani ya nyumba moja ya ibada?🐒

Chukua hiyo itakusaidia gentleman 🐒
 
Katiba inamzuia asifanye siasa yeye kama Mtanzania? Mbona Dr. Sulle anafanya siasa na hamsemi? Kinachotatiza hapa ni kuwa anafanya siasa ambazo ni impactful wakati Dr. Sulle anachukua kipaza sauti ili atukane na kufikiri amefanikiwa kitu.
Naona kama yale ya South America yanaweza kutokea Tanzania
unazungumzia nini gentleman 🐒
 
Avue mara ngapi. Kila post anaandika maujinga tu
sasa si uandike maujanja ndugu muerevu?

mbona unajipambanua na makasiriko na mihemko tu na hakuna point ya maana dhidi ya hoja mahususi mezani?🐒
 
Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania anafaa kujitafakari, kwasababu anatajwa kuacha majukumu yake ya kuhubiri neno la Mungu na kuhusika kuligawanya kanisa hilo kisiasa na kushindwa kuzuia mahaba yake ya kikabila dhidi ya mgombea uenyekiti wa chadema Taifa ambae ni wa kabila lake na ametoka kijiji kimoja na yeye.

Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania, anatumia wadhifa wake kushawishi kanisa, wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, wanachadema na wagombea wengine wa uongozi ndani ya chadema, kumuunga mkono mgombea anae mpenda yeye kwasababu za kikabila, na kua ndie mgombea wa baraza la maaskofu na waamini wa kanisa katoliki wanafaa kufuata hivyo, dhidi ya wagombea wasio wakatoliki na wasio wa kabila lake.

Ni muda muafaka sasa, katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kujitafakari mwenyewe, lakini pia kuwajibishwa na kanisa kwa kulichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, na kuliingiza kanisa katoliki kwenye siasa za ndani ya vyama vya siasa Tanzania.

Hii ni hatari kwa siasa, amani , utulivu na usalama wa Taifa letu changa 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Halafu ndio alitaka tumsikilize ushauri wake kuhusu dp world, si akahombee tu cheo chadema
 
Sasa hao wanyaturu wawili tu wana athari gani kwa siasa za kikabila? Kwanza hakuna anayejua wale ni wanyaturu na hakuna anayefuatilia siasa za kikabila. Kwa upande wa kanisa katoliki ni kubwa lina waumini wa vyama vyote haliko organised kisiasa na haliwezi kugawanyika kwa mitazamo ya kisiasa
Gentleman,
hawana athari zozote kisiasa,
ila ni muhimu kuwaweka kuweka record wazi ili wapuuzwe vizuri na jamii kwa kutumia vyeo vyao na mamlaka waliyonayo kuligawa mathalani kanisa katoliki na kuendekeza ukabila wao kizembe namna ile 🐒
 
Halafu ndio alitaka tumsikilize ushauri wake kuhusu dp world, si akahombee tu cheo chadema
yaani viongozi wengine kwenye haya makanisa ni mizigo isiyobebeka na ni wanafiki mno kwa nje na kwa ndani ya mioyo yao ni mbwa mwitu wakali zaidi 🐒
 
usiogope kumchana gentleman,

atakukwaza sana,
siku ingine,
utajikuta umejipanga kwenda kuskiza neno la Mungu kanisani unamkuta muungawana anahubiri chadema na mgombea wa imani na kabila lake 🐒
 
Kati ya makatibu wa kuu wa baraza la maaskofu walio andamwa kisisa Dt kitima ana ongoza.

Mimi ninacho fahamu ni moja wa mapadre wenye kiwango kikubwa cha elimu sio rahisi namna hio kujiingiza kwenye migogoro ya kisiasa tena kwa mwavuli wake yeye kama yeye , eti analiingiza kanisa katika mgogoro!

Labda sio kanisa katoliki .
huo wa pekeyake yeye mwenyewe Lakini kwa mgongo wa kanisa ndio haswa unafiki wa kiwango cha juu ambao ni kinyume cha falsafa hususan ya kanisa katoliki.

Falsafa ya kanisa katoliki sio ya kibinafsi ndiyo maana wanatambua familia, jumuiya, kanda, dekania na kanisa lenyewe katoliki. Hakuna ubinafsi kanisa katoliki gentleman 🐒
 
Gentleman,
Relax! Ya CHADEMA waachie wanachadema tunakujua wewe ni mwanaccm
Kwan mko wangapi gentleman mnaoamini katika upotoshaji huo wa kiwango cha chini sana?🐒
 
Gentleman,
Relax! Ya CHADEMA waachie wanachadema tunakujua wewe ni mwanaccm
mko wangapi gentleman mnaoamini katika upotoshaji huo?🐒
Uliza huko mitandaoniii watakukuzaa
nadhani platform hii muhimu na ya heshima zaidi ndio yenye msaada zaidi wa kuaminika kuliko platforms nyingine zote unazo tumia nchini 🐒
 
Anatajwa kuligawa Kanisa na masaburi Yako .??? shwain
relax gentleman,
makasiriko ya kishwain utaishia kujikaanga tu kwa mafuta yako mwenyewe,

siasa ni mipango mikakati gentleman 🐒
 
Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania anafaa kujitafakari, kwasababu anatajwa kuacha majukumu yake ya kuhubiri neno la Mungu na kuhusika kuligawanya kanisa hilo kisiasa na kushindwa kuzuia mahaba yake ya kikabila dhidi ya mgombea uenyekiti wa chadema Taifa ambae ni wa kabila lake na ametoka kijiji kimoja na yeye.

Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania, anatumia wadhifa wake kushawishi kanisa, wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, wanachadema na wagombea wengine wa uongozi ndani ya chadema, kumuunga mkono mgombea anae mpenda yeye kwasababu za kikabila, na kua ndie mgombea wa baraza la maaskofu na waamini wa kanisa katoliki wanafaa kufuata hivyo, dhidi ya wagombea wasio wakatoliki na wasio wa kabila lake.

Ni muda muafaka sasa, katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kujitafakari mwenyewe, lakini pia kuwajibishwa na kanisa kwa kulichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, na kuliingiza kanisa katoliki kwenye siasa za ndani ya vyama vya siasa Tanzania.

Hii ni hatari kwa siasa, amani , utulivu na usalama wa Taifa letu changa 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Acha ujinga wako wewe! Kanisa Katoliki haliwezi kugawanyika kwa sababu za kipuuzi.
 
Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania anafaa kujitafakari, kwasababu anatajwa kuacha majukumu yake ya kuhubiri neno la Mungu na kuhusika kuligawanya kanisa hilo kisiasa na kushindwa kuzuia mahaba yake ya kikabila dhidi ya mgombea uenyekiti wa chadema Taifa ambae ni wa kabila lake na ametoka kijiji kimoja na yeye.

Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania, anatumia wadhifa wake kushawishi kanisa, wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, wanachadema na wagombea wengine wa uongozi ndani ya chadema, kumuunga mkono mgombea anae mpenda yeye kwasababu za kikabila, na kua ndie mgombea wa baraza la maaskofu na waamini wa kanisa katoliki wanafaa kufuata hivyo, dhidi ya wagombea wasio wakatoliki na wasio wa kabila lake.

Ni muda muafaka sasa, katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kujitafakari mwenyewe, lakini pia kuwajibishwa na kanisa kwa kulichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, na kuliingiza kanisa katoliki kwenye siasa za ndani ya vyama vya siasa Tanzania.

Hii ni hatari kwa siasa, amani , utulivu na usalama wa Taifa letu changa 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Mbowe anakubalika na wasomi TEC.
 
Acha ujinga wako wewe! Kanisa Katoliki haliwezi kugawanyika kwa sababu za kipuuzi.
muerevu mbona unaendekeza makasiriko tu na imani potofu?

huyo katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania aache unafiki, na kuingiza siasa na ukabila katika kanisa katoliki, hiyo ni laana kama aliyonayo msaliti Mzee slaa 🐒
 
Mbowe anakubalika na wasomi TEC.
sifahamu,
ila katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania anajarbu kummpendelea kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ambae ni wa kabila lake kua kiongozi mkuu wa chadema Taifa 🐒
 
Back
Top Bottom