Katibu mkuu wetu J. Mnyika amepwaya sana

Katibu mkuu wetu J. Mnyika amepwaya sana

Hamza tumemfumua Ubongo jana mwenzake ananyea debe na kuliwa na papasi lockup

USSR
1630006434186.png
 
Sioni kama ana mikakati ya kuimarisha chama chetu.

Ishu ya akina Covid 19 imemshinda kabisa pamoja na kuwa ilikuwa turufu kwetu.

Sioni akipambana kupinga uonevu wa CCM kama ilivyokuwa Dk Slaa. Ona ishu ya tozo, kodi ya nyumba via luku nk. Yupo kimya tu kana kwamba amelidhika.

Huyu ndio katibu asiyefaa kuwahi kuwa na chama chetu.
Chaka la magaidi
 
Sioni kama ana mikakati ya kuimarisha chama chetu.

Ishu ya akina Covid 19 imemshinda kabisa pamoja na kuwa ilikuwa turufu kwetu.

Sioni akipambana kupinga uonevu wa CCM kama ilivyokuwa Dk Slaa. Ona ishu ya tozo, kodi ya nyumba via luku nk. Yupo kimya tu kana kwamba amelidhika.

Huyu ndio katibu asiyefaa kuwahi kuwa na chama chetu.
anazidi kuvimba mashavu tu, hafany lolote. mtadanganywa hadi lini nyie watu?
 
Hiyo nafasi angepewa Heche ingefaa sana, kama nionavyo mimi.
Mkurya hawezi kupewa hiyo nafasi, maana akilizamisha watachachawangwe. Hiyo nafasi anatakiwa "ndiyo kamanda" mwenye kutia sahihi kwenye cheki bila kuuliza supporting documents za malipo.
 
Hamza tumemfumua Ubongo jana mwenzake ananyea debe na kuliwa na papasi lockup

USSR
Kweli Mbowe na Hamza hawana tofauti. Labda tofauti tu ya makabila yao lakini wote magaidi
 
Wewe ndiye parody kilaza kuliko wote waliopo kusini mwa jangwa la Sahara
 
Kama harusiwi kuitisha mikutano hata ya ndani, mikakati akapangie chooni? Kilangila.
Sioni kama ana mikakati ya kuimarisha chama chetu.

Ishu ya akina Covid 19 imemshinda kabisa pamoja na kuwa ilikuwa turufu kwetu.

Sioni akipambana kupinga uonevu wa CCM kama ilivyokuwa Dk Slaa. Ona ishu ya tozo, kodi ya nyumba via luku nk. Yupo kimya tu kana kwamba amelidhika.

Huyu ndio katibu asiyefaa kuwahi kuwa na chama chetu.
 
Back
Top Bottom