Alikua na mke ila alishafariki
Aisee hatari sana!duhh
Kweli kabisa. Tena waongezewe kosa la kutaka kutakatisha hayo matrillioni ya pesa kosa ambalo halina dhamana.Walitakiwa wawe arrested na kushitakiwa kwa kutumia madaraka yao vibaya ..... Kutumbua tu hakutoshi!!
Unataka kusemaje? 😅Hivi hakuna uzinduzi wa mbuga yoyote ya wanyamapori au hafla yoyote ya wizara ya maliasili na utalii hivi karibuni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Murongo alishatangulia mbele ya haqi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lewelelooooLugola pamoja na kumsifia Rais leo kafukuzwa hadharani.Ningekuwa Lugola ningeaga nakwenda kuko joa na nasepa mbele kwa mbele.
Kama kwa sifa hizi bado ametumbuliwa basi hakuna sifa za kumlevya jemadari JPM
Muda mchache kabla ya ajali kazini, hiyo misifa aliyokuwa anamwagia bossy wake sijaona.
Mdomo uliponza kichwaLeo amejua kwamba matumizi bila kupitishwa na Bunge ni makosa.
Miradi yake ya Chato na ununuzi wa midege ilipitishwa na Bunge la Rwanda?
London Boy naona unabadilila badilika tu. Ulimhola ahene.