Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Lugola hata kutetea ubunge wake ktk jimbo lake mwaka huu upo shakani. Naona kwa mbali Musiba akipiga jalamba ili kulipwa fadhila.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na kichano alichopewa na mh. Leo wakati wa kuapishwa simba na zungu aisee uadilifu wake umeingia shakani sijui jimboni huko kamati ya siasa na chama juu watakavoamua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na serikali ya honorable causa inarudia yale yale ya kuuza bandari,ni dhahiri viongozi wetu ni majizi yaliyopo kwa mujibu wa sheria
 
Huku waandishi na wabunge walipelekwa Dubai wakaangalie Jinsi Bandari inavyofanya Kazi...; Ila sijui who picked up the Tabs..., Kama ni DP world au ni Kodi zetu....
 
Aisee kuna watu hawaleweshwi na sifa, jamaa alikuwa anamuita mungu, ila siku hiyo magu hakupepesa macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…