Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Lazima tuwanyooshe
We ndo kituko kweli.
Yaani shetani lenu la Chato tushalifukia linaozeana huko halafu eti mnatunyoosha.
Tumewanyoosha nyie ambao mtaendelea kuimboleza kila tunavyolibeza jitu lenu
 
Jiwe alikuwa mbele ya mda, jamii ya sasa bado haijastaarabika na itatuchukua miaka mingi kufikia level ya uelewa kama aliokuwa nao jiwe
Mstaarabu atokee Chato!
Si kituko hicho. Jitu latembea likila mahindi barabara nzima ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…