Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Sisi mabasher tunawajua nyie chakla chetu hamjifichi
Nyie magasho spidi ya kuliwa itaongezeka, vile vijisenti mlivyovitarajia vimeziuwa na.mnaowaita mabeberu ( mnawakataa lakini visenti vyao mnavitaka) . Kazi mnayo.
 
Nyie magasho spidi ya kuliwa itaongezeka, vile vijisenti mlivyovitarajia vimeziuwa na.mnaowaita mabeberu ( mnawakataa lakini visenti vyao mnavitaka) . Kazi mnayo.
Chakla
 
Naona hela imeidhinishwa maana wameanza kufufuka kwa kasi hawa wafa na tai shingoni!
 
Unajua kudai ujira wa kazi ya kijinga pia ni ujinga eeh!! Hawa kweli empty brain, maana zingekuwemo wangeona hata aibu kudai.
 
Kawe Alumni amesharudi kijijini kwao Hali imekuwa mbaya...
Hawa wajinga tunawaambia kilasiku wajitahidi kujitetea Kwa kufanya biashara lkn akili zao zimeegemea Kwenye kuwepa uteuzi.wengi wa vijana hawa wameshaolewa huku mtaani
Alumni karudi leo kwa spidi ya hatari!

Sijui amelipwa madai yake, au ameamua kujitutumua tu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…