JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Mimi nakula nyie ma-gasho.Unakula unaliwa? Wewe ni mchele mchele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakula nyie ma-gasho.Unakula unaliwa? Wewe ni mchele mchele
Sio najipromofi najua njaa imewazidia. Labda msubiri fedha za corona zije , wakubwa wenu wazimege ndio mpata posho . Sasa wakati mnaendelea kusubiri ukiona njaa imekuzidia unakuja kugongwa unapewa hela ya kula wiki moja. Yaani 49,000. Kila siku 7000. Nyie mabwabwa mtaliwa kweli kweli safari hii.Bwabwa la ufipa naona unajipromoti
Sikuwahi kuamini kwamba kuna watu kama hao, nilidhani ni madongo wanayopewa na wapinzani wao! KilangilaWakati hajapata uDC kisarawe alikuwa mratibu mkuu wa LB7. Alikuwa strict kila post na michango ya wanaLB7 jamvini anafuatilia hadi akijiridhisha ndio unalipwa buku saba.
Pia kulikuwa na vipakiti vya Korosho wanapewa kama motiveshen ukimtukana mbowe, chadema na wachaga
Jon
Moderator
Mnafurahi watu wanatajana IDs na kuanza matusi namna hii.
Hii nchi ni zaidi ya CCM na CHADEMA wanaolumbana hapa.
Funga mjadala huu hauna tija tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipolileta wazo la kuanzisha 'Timu ya Utetezi wa CCM' mitandaoni katika vikao vya kichama ulisifiwa na wazo lako lako likapita. Vijana wakatafutwa na Timu husika ikaundwa ikiwa na jukumu kubwa la kutetea chochote kinachohusu Serikali au CCM au vyote viwili. Timu yetu ya mtandaoni ambayo humu JF imebatizwa jina la Lumumba Buku Saba inafanya vyema kutetea kwa kila uwezo wao. Kiukweli, hakuna jambo ambalo linahusu Serikali hii au CCM ambalo halisifiwi nao. Always, Lumumba Buku Saba wanakufa na tai zao shingoni.
Malipo ya Timu yetu ya Mitandaoni yanaratibiwa na Idara yako ya Uenezi na Itikadi ya CCM iliyopo chini yako Ndugu Humprey Polepole, muasisi wa wazo la timu husika. Pamoja na malalamiko na maombi ya wanatimu kutaka malipo yapandishwe kutoka elfu saba hadi kumi kwa siku, malipo yao yaliyokwishapitishwa kichama ya elfu saba kwa siku yamekuwa yakilipwa. Wanatimu wanajituma pamoja na kuwa ni wachache tu kati yao ndiyo waliowezeshwa kwa kununuliwa simu, tablet na kompyuta.
Malipo ya wanatimu yamesimama kwa muda sasa. Baadhi ya wanatimu wamenza kususa kwa ama kutoandika chochote mitandaoni au kuandika bila jazba, mihemko, hasira na kwa kejeli kama walivyoagizwa. Sababu zinazotolewa kuhusu kuyumba kwa malipo ya wanatimu ni kutokana na ugonjwa wa Corona. Vijana wanataka kujua, Corona imeathirije malipo yao? Ndugu Polepole kumbuka kuwa huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Tusiwaudhi wanatimu wa mtandaoni. Tuwallipe na kuwawezesha ili watusaidie.
Tuwe makini na ugonjwa wa Corona kwa kuchukua tahadhari!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Alafu habari ya buku 7 huwa nafikiri ni kejeli tu za Jf, kuna ni kweli jamaa wanalipwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnalipwa buku 7.. cheka hapa lakini ukweli unaujua mzee..Hahahaaaaa...........nimecheka sana.
Siasa ni sayansi.
Siasa siyo uadui
Maendeleo hayana vyama!
Wewe buku 7 unaziona ndogo?!!Mnalipwa buku 7.. cheka hapa lakini ukweli unaujua mzee..
Umewasahau wengi sanaKwa taarifa ni kwamba kikosi hiko kinaundwa na list hii.
1. Magonjwa mtambuka (goalkeeper)
2. No retreat no salender ( beki).
3.Stroke (beki) .
4.Laki si pesa (beki)
5. Mudawote (mkoba).
6.kawe alumni (kiungo)
7.Digna sowey (wings teleza).
8.Boniphace Kichonge (mchezeshaji).
9.Nyani Ngabu (forward).
10.Johnthebaptist (Captain)
11.KARO MWILAPWA (winga ya kushoto)
Mwishoni mtashikwa makalio. Ngojeni pesa za corona zije zimegwe mlipwe malimbikizo yenu.Wewe buku 7 unaziona ndogo?!!
Kuna mwingine anaitwa Bukililo.
Wewe unashikwa makalio hapo ufipa?Mwishoni mtashikwa makalio. Ngojeni pesa za corona zije zimegwe mlipwe malimbikizo yenu.
Hela za corona hazina uhakika wa kuja lazima mgongwe mwaka huu, otherwise mkafanye hata kilimo.Wewe unashikwa makalio hapo ufipa?
Wewe unagongwa hapo Ufipa!Hela za corona hazina uhakika wa kuja lazima mgongwe mwaka huu, otherwise mkafanye hata kilimo.
Aaaaaahaaaa kumbeeee[emoji40]Ulipolileta wazo la kuanzisha 'Timu ya Utetezi wa CCM' mitandaoni katika vikao vya kichama ulisifiwa na wazo lako lako likapita. Vijana wakatafutwa na Timu husika ikaundwa ikiwa na jukumu kubwa la kutetea chochote kinachohusu Serikali au CCM au vyote viwili. Timu yetu ya mtandaoni ambayo humu JF imebatizwa jina la Lumumba Buku Saba inafanya vyema kutetea kwa kila uwezo wao. Kiukweli, hakuna jambo ambalo linahusu Serikali hii au CCM ambalo halisifiwi nao. Always, Lumumba Buku Saba wanakufa na tai zao shingoni.
Malipo ya Timu yetu ya Mitandaoni yanaratibiwa na Idara yako ya Uenezi na Itikadi ya CCM iliyopo chini yako Ndugu Humprey Polepole, muasisi wa wazo la timu husika. Pamoja na malalamiko na maombi ya wanatimu kutaka malipo yapandishwe kutoka elfu saba hadi kumi kwa siku, malipo yao yaliyokwishapitishwa kichama ya elfu saba kwa siku yamekuwa yakilipwa. Wanatimu wanajituma pamoja na kuwa ni wachache tu kati yao ndiyo waliowezeshwa kwa kununuliwa simu, tablet na kompyuta.
Malipo ya wanatimu yamesimama kwa muda sasa. Baadhi ya wanatimu wamenza kususa kwa ama kutoandika chochote mitandaoni au kuandika bila jazba, mihemko, hasira na kwa kejeli kama walivyoagizwa. Sababu zinazotolewa kuhusu kuyumba kwa malipo ya wanatimu ni kutokana na ugonjwa wa Corona. Vijana wanataka kujua, Corona imeathirije malipo yao? Ndugu Polepole kumbuka kuwa huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Tusiwaudhi wanatimu wa mtandaoni. Tuwallipe na kuwawezesha ili watusaidie.
Tuwe makini na ugonjwa wa Corona kwa kuchukua tahadhari!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Kuna wengine bado wanachechemea itaneni basi au nyie sio wazalendo?Mzee tupatupa wa Ufipa, kama huna kitu cha kuposti nenda kilabuni ukapate hata kitochi cha mbege.
Hahaaaaa umechoropoka mafichoni na kibando chako cha jero[emoji40]Wewe unagongwa hapo Ufipa!
Ulidhani ukijiita john ndiyo utakumbukwa sana. !? Lazima utafute shaba wa kukula mwaka huu.Wewe unagongwa hapo Ufipa!