Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
Na wewe!! Ni misfit kabisa kwa maneno hayo.
 
Athari za minyoo ya nguruwe kupanda kwenye ubongo huwa hazijifichi.
. Kula kitu hicho wacha miyeyusho yako. Kitimoto unakula na pombe unakunywa.
1585638689416.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana hamjamuelewa Mh Rais alivyosema "WATUMISHI WA UMMA HAKUNA NYONGEZA YA MISHAHARA WALA NYONGEZA YA POSHO". Nyie si mnajiita "WATUMISHI WA UMMA" pia.

Hao "LUMUMBA BUKU 7" hua wanatetea hata mengine yasio ya kutetea, kufikia hatua wanaonekana wapumbavu, lakini wamo tu.

Cha kufurahisha zaidi, LB-7000 ni watu wazima wenye watoto na wajukuu zao majumbani.
7000*30=?????mshahara mzuri tu jamani kwa usawa huu
 
Tudanganye kwa faida ya nani? Muulize kada yeyote makaomakuu pale lumumba atakwambia.vijana wa mitandaoni wanalipwa shilingi ngapi kwa siku.
hivi huu utaratibu upo kweli ama ndiyo mambo ya April Mosi.
 
chriss lukosi huyo wamekula Kona wote
Nimo humu tangu 2008. Kulikuwa na kina Lizaboni na yule mbeba box maarufu ulaya namsahau Sasa ana jina la watu wa mbeya , sijui hawa umri umepita au ndio hivyo mambo mengi. Walikuwa na uwezo mkubwa wa kupangua hoja kipindi hicho Kina Zito, dr Slaa na wengine wakubwa tuliwasoma humu. Kwa Sasa wakubwa wote wanapost na kutoweka au MTU anawaletea Uzi wao kutoka twita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi wewe washakutoa kwenye "payroll"?
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
 
misasa b7000 uchwara...nyie ndo nnayumbisha viongozi kwa kutetea maovu.haya sasa malipo yamesimamishwa mjiandae kubeba mapanga na mashoka kwa kuelekea msituni kwa ajili ya kujituma kufanya kazi za nguvu kama kukata mkaa,kulima n.k
Mirija ya buku saba imezibwa kwa sasa
🤣🤣

Inabidi nianze kucheka kwanza mkuu,unahisi ni mmoja wao wa buku saba?
 
Back
Top Bottom