Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Hivi ni kwanini mtu mature kama wewe unatekwa na siasa za ukabila ?!.
Hivi Cdm ingekuwa ya wachaga tu, ingewasumbua kichwa Ccm ?!.

Cdm imeungwa mkono na kupigiwa kura nchi nzima , tena bila mkono wa chuma ndiyo uwasimange wachaga ?!

Odhis *
Ukabila na udini ndio roho ya chadema hii ndio formation yao udini+ukabila=chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe bavicha ni mjinga sana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hivi ni kwanini mtu mature kama wewe unatekwa na siasa za ukabila ?!.
Hivi Cdm ingekuwa ya wachaga tu, ingewasumbua kichwa Ccm ?!.

Cdm imeungwa mkono na kupigiwa kura nchi nzima , tena bila mkono wa chuma ndiyo uwasimange wachaga ?!

Odhis *

Chadema ni chama cha wachagga huo ndio ukweli kabisa mifano ipo wazi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wewe huwa ni mpumbavu sana, halafu hujijui ulivyo mpumbavu, ugonjwa wa Mbowe unakuhusu nini wewe mdini mkubwa?
Kabudi anaumwa Korona mnaogopa kumtangaza mkidhani hamstahili kuugua.
Mada ni ya Lumumba Buku 7,halafu unakurupuka kusema ugonjwa wa mtu.
Hivi wewe ni mwanamke kweli mwenye mume, familia na watoto?
Na Kama una mume basi anaishi na moto.
You don't deserve to be a house wife other than a sinister spinster, una tabia za kijinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwezekane afe tu ili nyie misukule muachwe free akili zenu zirudi mmekuwa misukule original hamjielewi mnapelekwa pelekwa mna tukana watu hovyo hovyo mnaropoka ropoka mnatia aibu nyie madada wa ufipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa ni kwamba kikosi hiko kinaundwa na list hii.

1. Magonjwa mtambuka (goalkeeper)
2. No retreat no salender ( beki).
3.Stroke (beki) .
4.Laki si pesa (beki)
5. Mudawote (mkoba).
6.kawe alumni (kiungo)
7.Digna sowey (wings teleza).
8.Boniphace Kichonge (mchezeshaji).
9.Nyani Ngabu (forward).
10.Johnthebaptist (Captain)
11.KARO MWILAPWA (winga ya kushoto)
Jingalao yeye anajitegemea?
 
Back
Top Bottom