Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Nnaona Waswahili wa kuja neno "kunanga' mmeshalibadili maana.

Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
Una akili ndogo japo umezeeka.
 
FaizaFoxy said:
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
Hivi ni kwanini mtu mature kama wewe unatekwa na siasa za ukabila ?!.
Hivi Cdm ingekuwa ya wachaga tu, ingewasumbua kichwa Ccm ?!.

Cdm imeungwa mkono na kupigiwa kura nchi nzima , tena bila mkono wa chuma ndiyo uwasimange wachaga ?!

Odhis *
 
Wakati hajapata uDC kisarawe alikuwa mratibu mkuu wa LB7. Alikuwa strict kila post na michango ya wanaLB7 jamvini anafuatilia hadi akijiridhisha ndio unalipwa buku saba.

Pia kulikuwa na vipakiti vya Korosho wanapewa kama motiveshen ukimtukana mbowe, chadema na wachaga

Jon
Teh teh teh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hii comment imenivunja mbavu aisee
haaaa haaaa haaaa 😃 😃😃 😃! yaani unaajiriwa ili umtukane mtu (watu) asiyekufahamu wala hana muda na wewe, huko ni kukosa akili !! teh teh teh 🤣🤣🤣🤣
 
Nimo humu tangu 2008. Kulikuwa na kina Lizaboni na yule mbeba box maarufu ulaya namsahau Sasa ana jina la watu wa mbeya , sijui hawa umri umepita au ndio hivyo mambo mengi. Walikuwa na uwezo mkubwa wa kupangua hoja kipindi hicho Kina Zito, dr Slaa na wengine wakubwa tuliwasoma humu. Kwa Sasa wakubwa wote wanapost na kutoweka au MTU anawaletea Uzi wao kutoka twita.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimo humu tangu 2008. Kulikuwa na kina Lizaboni na yule mbeba box maarufu ulaya namsahau Sasa ana jina la watu wa mbeya , sijui hawa umri umepita au ndio hivyo mambo mengi. Walikuwa na uwezo mkubwa wa kupangua hoja kipindi hicho Kina Zito, dr Slaa na wengine wakubwa tuliwasoma humu. Kwa Sasa wakubwa wote wanapost na kutoweka au MTU anawaletea Uzi wao kutoka twita.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimemkumbuka Malariasugu, ni kipindi jukwaa hili huchangii bila kupitia nondo kwanza.
 
Malipo ya wanatimu yamesimama kwa muda sasa. Baadhi ya wanatimu wamenza kususa kwa ama kutoandika chochote mitandaoni au kuandika bila jazba, mihemko, hasira na kwa kejeli kama walivyoagizwa.
Je, kuna uhusiano wowote kuhusu taarifa hii na ile inayomhusu mwanaJF anayejieleza 'kustaafu JF' ambayo ipo kwenye ukumbi huu?
Nimesoma tu kichwa cha habari ya taarifa hiyo, sijaangalia aliyoeleza ndani ya taarifa yenyewe!
 
Back
Top Bottom