Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,294
Yule kawe na state agent ndio kabisa wamebadili na IDUpole wa Johnthebaptist ulinipatia maswali mengine mno kumbe Buku 7 haipo tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule kawe na state agent ndio kabisa wamebadili na IDUpole wa Johnthebaptist ulinipatia maswali mengine mno kumbe Buku 7 haipo tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili ndogo japo umezeeka.Nnaona Waswahili wa kuja neno "kunanga' mmeshalibadili maana.
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Yaani acha tu
Hivi ni kwanini mtu mature kama wewe unatekwa na siasa za ukabila ?!.FaizaFoxy said:
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Yaani kama kuna mwanaume amezaa na wew basi amekula hasara kubwa sana toto kichwa maji ka mama yakeNafahamu kuwa mwenyekiti wa maisha Mbowe anaumwa huo ugonjwa. Vipi hali yake?
Si ndio sababu ya kuikimbia Ufipa, umesahau?
Teh teh teh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakati hajapata uDC kisarawe alikuwa mratibu mkuu wa LB7. Alikuwa strict kila post na michango ya wanaLB7 jamvini anafuatilia hadi akijiridhisha ndio unalipwa buku saba.
Pia kulikuwa na vipakiti vya Korosho wanapewa kama motiveshen ukimtukana mbowe, chadema na wachaga
Jon
Mwenyewe huwa nawaza sana.hivi huu utaratibu upo kweli ama ndiyo mambo ya April Mosi.
Acha kutafuta kiki nawewe.Tobaaaaaasah kumbeeeeee!!!!
Ndio maana kuna watu humu nilikuwa siwaelewi; wengine wamepotea kabisa jukwaani kama dada kawe alumini sijui mwingine kawa mpole kinyama yaani johnbabtist
Hivi ni kwa nini?Nimo humu tangu 2008. Kulikuwa na kina Lizaboni na yule mbeba box maarufu ulaya namsahau Sasa ana jina la watu wa mbeya , sijui hawa umri umepita au ndio hivyo mambo mengi. Walikuwa na uwezo mkubwa wa kupangua hoja kipindi hicho Kina Zito, dr Slaa na wengine wakubwa tuliwasoma humu. Kwa Sasa wakubwa wote wanapost na kutoweka au MTU anawaletea Uzi wao kutoka twita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimo humu tangu 2008. Kulikuwa na kina Lizaboni na yule mbeba box maarufu ulaya namsahau Sasa ana jina la watu wa mbeya , sijui hawa umri umepita au ndio hivyo mambo mengi. Walikuwa na uwezo mkubwa wa kupangua hoja kipindi hicho Kina Zito, dr Slaa na wengine wakubwa tuliwasoma humu. Kwa Sasa wakubwa wote wanapost na kutoweka au MTU anawaletea Uzi wao kutoka twita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hufahamu chochote we changudoa.Nafahamu kuwa mwenyekiti wa maisha Mbowe anaumwa huo ugonjwa. Vipi hali yake?
Si ndio sababu ya kuikimbia Ufipa, umesahau?
Kumbe ni muuza papuchi!Hufahamu chochote we changudoa.
Unaongea kwa hisia tu.
Je, kuna uhusiano wowote kuhusu taarifa hii na ile inayomhusu mwanaJF anayejieleza 'kustaafu JF' ambayo ipo kwenye ukumbi huu?Malipo ya wanatimu yamesimama kwa muda sasa. Baadhi ya wanatimu wamenza kususa kwa ama kutoandika chochote mitandaoni au kuandika bila jazba, mihemko, hasira na kwa kejeli kama walivyoagizwa.
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Bwashee naoma umevaa kitambaa cha ukapteni...hatari kabisaHahahaaaaa...........nimecheka sana.
Siasa ni sayansi.
Siasa siyo uadui
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wajinga hawazeeki mkuu?Wewe nawe, naumri wote huo bado unapost mada za kijinga!? au kuna mtu ametumia account yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vumilieni tu, mtalipwa baada ya janga la corona kupita. Katika fedha za misaada za kupambana na corona watamega kiasi fulani kwa ajili ya malipo yenu.Kuna jambo unalitafuta naona
We bibi majimaji machafu ya ukeni kwako huenda yamepanda kichwani!Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?