My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Anatumia ID feki watamjuaje?Mzee Shikamoo , hivi hauogopi kutekwa unapotoa siri ya vikao vya ccm ?
Si ajabu akawa Mwigulu Nchemba
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumia ID feki watamjuaje?Mzee Shikamoo , hivi hauogopi kutekwa unapotoa siri ya vikao vya ccm ?
Mama ana mkapa naye yupo chademaNioneshe mmoja "wa maana" ambae siyo chadema au kkkt au Mchagga.
Teheheheheheh... Baba LuciferCCM haipigani yenyewe , inapiganiwa na " baba"
Upole wa Johnthebaptist ulinipatia maswali mengine mno kumbe Buku 7 haipo tenaTobaaaaaasah kumbeeeeee!!!!
Ndio maana kuna watu humu nilikuwa siwaelewi; wengine wamepotea kabisa jukwaani kama dada kawe alumini sijui mwingine kawa mpole kinyama yaani johnbabtist
Huyu malaya naye kapotea siku hizi, Duh...ama kweli shetani hana rafiki
Pasco nasikia walimwongeza mshahara ila target yake ni kupata ukuu wa wilaya na jiwe hamtakiOngezea paschal Mayalla kocha
we bado unamoyo bila hata ya bu7 ukotayari kupiga kazi kwa mkopoCorona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Vipi Bange ulishaacha?Vipi Hali ya Mwenyekiti wa maisha, Mbowe,?
Anaendeleaje na Corona? Vipi na mwanae?
Ufipa kuna anaeingia kufanya kazi kipindi hiki?
FaizaFoxy said:we bado unamoyo bila hata ya bu7 ukotayari kupiga kazi kwa mkopo
Nakuona katika ubora wako ewe mtetezi wa udini na ufisadi!Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi ya Ufipa, anaugulia Corona Dodoma.
Nini usichokielewa hapo?
Wewe huwa ni mpumbavu sana, halafu hujijui ulivyo mpumbavu, ugonjwa wa Mbowe unakuhusu nini wewe mdini mkubwa?Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
FaizaFoxy said:Vipi Bange ulishaacha?
FaizaFoxy said:Wewe huwa ni mpumbavu sana, halafu hujijui ulivyo mpumbavu, ugonjwa wa Mbowe unakuhusu nini wewe mdini mkubwa?
Kabudi anaumwa Korona mnaogopa kumtangaza mkidhani hamstahili kuugua.
Mada ni ya Lumumba Buku 7,halafu unakurupuka kusema ugonjwa wa mtu.
Hivi wewe ni mwanamke kweli mwenye mume, familia na watoto?
Na Kama una mume basi anaishi na moto.
You don't deserve to be a house wife other than a sinister spinster, una tabia za kijinga sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malipo ya kulipwa pesa na CCM ili uje uposti Ujinga hautakusaidia chochoteFaizaFoxy said:
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Ooh kumbe ni mgonjwa tayari. Qhsantenkwankutujuza. Poleni sana.Wewe huwa ni mpumbavu sana, halafu hujijui ulivyo mpumbavu, ugonjwa wa Mbowe unakuhusu nini wewe mdini mkubwa?
Kabudi anaumwa Korona mnaogopa kumtangaza mkidhani hamstahili kuugua.
Mada ni ya Lumumba Buku 7,halafu unakurupuka kusema ugonjwa wa mtu.
Hivi wewe ni mwanamke kweli mwenye mume, familia na watoto?
Na Kama una mume basi anaishi na moto.
You don't deserve to be a house wife other than a sinister spinster, una tabia za kijinga sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania nzima ni ya wachaga? CHADEMA inapendwa Tanzania nzima, without the use of force, the green snake (CCM) can't exist.Nioneshe mmoja "wa maana" ambae siyo chadema au kkkt au Mchagga.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.Malipo ya kulipwa pesa na CCM ili uje uposti Ujinga hautakusaidia chochote
Utetezi wa Mafisadi na Majizi ya nchi haitakusaidia chochote duniani na ahelaMwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
[emoji115]FaizaFoxy said:
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!