TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mjohoroni mkoani humo.

Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.


Picha kutoka eneo ilipotokea ajali

======

Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.

Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.

Picha kutoka Maktaba.

 
Kama amefumba macho na yupo mochwari taarifa watatoa tuendeshe kwa uangalifu mwendo kasi unaua marehemu wapumzike kwa amani!
 
Njia yetu ni moja. Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho. Kuna siku ya kuzaliwa na kuna siku ya kufa. Tulizaliwa tu uchi, tukiwa hatuna kitu chochote. Na tena tunaondoka duniani bila kitu chochote. Tumeche Mungu sana tungali hai
Jamaa mbona unatia huruma hivyo? Kula mbususu wewe yaani kama kuna msambwanda karibu kula wewe au nawe upo kwenye lile kundi la kula duniani nyuma halafu wakifa wataenda kula mbinguni mbele yaani ma'bikra 70
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…