Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Crimeangoja waje watetezi wake humu[emoji1787]
Hilo ndilo alilolisahau SabayaNani mwenye maagizo kutoka juu mwenye kibali cha maandishi?
Sabaya alishasema kuwa alitumwa na Prof. Luoga, dk Mpango na baba lao MagufuliNajiuliza Baadhi ya Maswali
Je SABAYA alikuwa anashirikiana na Nani kuwafungulia Watu Mashtaka ya MAKOSA Anayoyataka Yeye?
Maagizo kutoka juu yanapaswa kutimizwa na wenye akili. Maagizo kutoka juu yasiyo na maandishi, tafsiri yake ni kwamba ' if you are caught, you are on your own, we don't know you'.Nani mwenye maagizo kutoka juu mwenye kibali cha maandishi?
Na huyu Sabaya kivyovyote ilivyo ndiye gaidi namba moja Tanzania ila kapewa kesi ya ujambaziShetani hana rafiki
hii ndiyo huwa inaitwaga - kupigilia msumali wa mwisho kwenye geneza!!Renatus Msangira (45), amepanda kizimbani akidai kwamba aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani humo, Lengai Ole Sabaya, hakupewa kibali chochote cha maandishi kwenda kutekeleza majukumu nje ya kituo chake cha kazi.
Watajuana. Sabaya ni Mbuzi wa kafara. Inabidi Phillip Mpango , mkuu wa kikosi kazi za mapato aje kutoa ushahidi wake muda ukiwadia
Kabisa Mkuu, Mawakili wa Serikali wamejigeuza kuwa MAWAKILI WA CCM. Inasikitisha sana tulikofikia kama Taifa.Sabaya hachomoki kwenye hii kesi, labda utokee muujiza mwingine wa jaji kuwafundisha mawakili wa CCM nini cha kufanya.