Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kumbuka kuwa mwiba huwa unatokea pale unapoingiliaILIKUWAJE AKAPEWA TENA CHEO KABLA YA TUHUMA ZAKE KUJADILIWA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka kuwa mwiba huwa unatokea pale unapoingiliaILIKUWAJE AKAPEWA TENA CHEO KABLA YA TUHUMA ZAKE KUJADILIWA?
Makubwa sana haya, kutoka mla Rushwa Hadi kuwa Katibu Mwenezi, si ataeneza Rushwa tu“Na bahati mbaya, hata utafutaji wa meya hapa ulijaa rushwa ndio maana katibu wa CCM hapa tumemsimisha kazi, atajadiliwa kwa sababu alikula rushwa kwa madiwani,” amesema Rais Magufuli.
Rais Magufuli alitoa taarifa hiyo wakati anazungumzia upatikanaji wa meya wa manispaa hayo, Pascal Kihanga, ambapo amesema hakustahili kuwa Meya wa Manispaa ya Morogoro.
Rais John Magufuli
Fuatilia, ni kiongozi gani ndani ya CCM na hata Serikali ambaye siyo mla rushwa?Makubwa sana haya, kutoka mla Rushwa Hadi kuwa Katibu Mwenezi, si ataeneza Rushwa tu
Unashanga nini wakati yule msagaji aliye kuwa mtangazaji radioni yupo white house MAGOGONI ana mfanyia massage mama yako NA YULE GAY MWINGINE YUPO WHITE HOUSE UNGUJA .Huyu mbwiga ana kismati sana aliwahi kufukuzwa uanachama kabisa akiwa kiongozi wa uvccm wakati alipoolewa kule Mombasa baadaye kashfa ikayeyuka kimya kimya leo hii anakula mema ya CCM
Usiseme mema ya ccm, sema mema ya nchiHuyu mbwiga ana kismati sana aliwahi kufukuzwa uanachama kabisa akiwa kiongozi wa uvccm wakati alipoolewa kule Mombasa baadaye kashfa ikayeyuka kimya kimya leo hii anakula mema ya CCM
Ila jamaa ana jicho![]()
Anatuhumiwa kushiriki rushwa wakati wa mchakato wa kumpata
Ndio sifa namba MojaFuatilia, ni kiongozi gani ndani ya CCM na hata Serikali ambaye siyo mla rushwa?
Ameishi sana KenyaIla jamaa ana jicho
Labda wakati wa utawala ule alifanyiwa zengweShaka ni mla rushwa haswa
Namjua vizuri tangu nikiwa UVCCM ni mla rushwa snLabda wakati wa utawala ule alifanyiwa zengwe
Ova
Magufuli si kafaILIKUWAJE AKAPEWA TENA CHEO KABLA YA TUHUMA ZAKE KUJADILIWA?
Au kule Pwani.Ameishi sana Kenya
Siyo jambo geni kwake.Wamemtafuna kichuri mpemba
Atakuwa kakifedhesha chama,wamemweka kandoSiyo jambo geni kwake.
Mayalla kishazeeka , miaka 67 bado mnataka aendelee kuhangaika jf na corona yote hii ?