Uchaguzi 2020 Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha asema Nassari alimtumia SMS akitaka kuhakikishiwa kupewa nafasi ya kugombea Ubunge tena

Chama cha majambazi na mafisadi wanataka kuifanya Arusha kuwa himaya yao?
 
Salary Slip,

Tatizo kubwa la CHADEMA ndiyo hili wanapenda mno Kukimbilia pale Mtu alipoangukia ila hawataki kabisa Kujiibidisha ili kujua pia amejikwaa wapi.
 
He was nursing his wife!
Bwana mdogo naona aliamua kufuata tabia za viongozi wetu wa Kiafrika kukimbilia Ulaya na Marekani kimatibabu. Eti wife anaenda kuzalia US! Ndio akafanya blunder mpaka akatemeshwa Ubunge! Hiyo ilikuwa stupid move.
 
Yani wabunge wamekua kama wacheza mpira,
Alitaka CDM wapande dau.
 
Ehe harafu ikawaje baada ya ujumbe kumfikia, ? Uwe unaleta abari kamili sio vipande
 
Unaizungumzia Arusha ipi jombaaa? Sisi wana Arusha kura zetu zote za NDIO ni kwa CHADEMA.
 
Huko aliko anaweza akapewa unaibu waziri, ukuu wa wilaya, u ofisa tawala wa wilaya au mkoa... by the way mavyeo ni mengi sana tu.
 
Bwana mdogo naona aliamua kufuata tabia za viongozi wetu wa Kiafrika kukimbilia Ulaya na Marekani kimatibabu. Eti wife anaenda kuzalia US! Ndio akafanya blunder mpaka akatemeshwa Ubunge! Hiyo ilikuwa stupid move.
If at all he did not seek leave from his party and Bunge to go to the US, then that was a blunder. But I am not convinced that he was that much ignorant of procedures to act the way he acted! There is /was something behind his move!
 
Ulitaka wabunge hao wafanye nini? Kazi za mbunge ni nini? Wananchi wanajuta kwani wabunge ni wakusanya kodi?
 
Unaizungumzia Arusha ipi jombaaa? Sisi wana Arusha kura zetu zote za NDIO ni kwa CHADEMA.
unajidanganya mjombaa ...watu wamechoka zunguka pita uongee fanya research yako..unamchagua mtu ambaye anashinda mitandaoni na anafanya ishu zake za kibiashara hana time na nyie halafu apewe tena..hio never ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…