Katibu wa UWT mkoa wa Kilimanjaro jifunze alama za nyakati, punguza kupokea mlungula na warejeshee akina mama nauli walizotumia kwenda Dar

Katibu wa UWT mkoa wa Kilimanjaro jifunze alama za nyakati, punguza kupokea mlungula na warejeshee akina mama nauli walizotumia kwenda Dar

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Niwe muwazi na mkweli.

Hakuna wanawake walioteseka kama sisi UWT MKOA WA KILIMANJARO tuliokwenda kwenye kongamano la kumpongeza mama Samia kwenye uwanja wa uhuru Dar tarehe 19.3.2023.

Tumepatwa na kila aina ya dhoruba.

Tumekopa fedha za nauli za kwenda Dar na kurudi hatujui tutazirejeshaje.” au tutazipata wapi na katibu alisema tutarejeshewa tukifika Dar na imekuwa kinyume chake.

2. Tumekopa fedha za kula na kulala

3. Tumenyeshewa mvua mchana hadi usiku na wengine kukumbwa na mafuriko

4. Tumetelekezwa na basi lililotuleta Dar ambalo ni mali ya Mnec CCM mkoa (Tumekuja Dar wajumbe 52 na basi kwa kulipa nauli ya Tsh 45,000 kwenda na kutudi, tumefika Dar, wakati wa kuridi tumepakiwa kwenye coaster kutoka Dar kurudi moshi usiku na nauli tulilipa kwenye basi lililotupeleka Dar.

Ombi: Tunaomba Katibu wa UWT MKOA WA KILIMANJARO apangiwe majukumu mengine na sio wala hafai kuwa kiongozi wa wanawake na kuna dalili ni mzaliwa wa Rwanda ana roho ngumu sana na hana utu wala ubinadamu.

Kidumu chama cha Mapinduzi
CC:
Katibu wa UWT TAIFA
 
Kwan kumetokea nn?
Katibu wa UWT MKOA amepokea fedha za kutusaidia au kutuwezesha nauli na malazi ila ametokomea nazo zote
Maeneo mengine hata wabunge wa maeneo husika walisaidia ila huyu katibu ametufanyia mahoka na kama ccm inatesa wanawake kiasi hiki basi mama samia mpendwa wetu anayo kazi ya ziada.
 
 
Niwe muwazi na mkweli.
Hakuna wanawake walioteseka kama sisi UWT MKOA WA KILIMANJARO tuliokwenda kwenye kongamano la kumpongeza mama Samia kwenye uwanja wa uhuru Dar tarehe 19.3.2023.

Tumepatwa na kila aina ya dhoruba .
. Tumekopa fedha za nauli za kwenda Dar na kurudi hatujui tutazirejeshaje.” au tytazipata wapi na katibu alisema tutarejeshewa tukifika Dar na imekuwa kinyume chake.
2. Tumekopa fedha za kula na kulala
3. Tumenyeshewa mvua mchana hadi usiku na wengine kukumbwa na mafuriko
4. Tumetelekezwa na basi lililotuleta Dar ambalo ni mali ya Mnec CCM mkoa. ( Tumekuja Dar wajumbe 52 na basi kwa kulipa nauli ya Tsh 45,000 kwenda na kutudi, tumefika Dar , wakati wa kuridi tumepakiwa kwrnye coaster kutoka Dar kurudi moshi usiku na nauli tulilipa kwenye basi lililotupeleka Dar.

Ombi : Tunaomba Katibu wa UWT MKOA WA KILIMANJARO apangiwe majukumu mengine na sio wala hafai kuwa kiongozi wa wanawake na kuna dalili ni mzaliwa wa Rwanda ana roho ngumu sana na hana utu wala ubinadamu .

Kidumu chama cha Mapinduzi
CC:
Katibu wa UWT TAIFA
 
Kwani logistics za safari hazikua na uratibu? Au mlienda kama mnakwenda mkoleni ? Kama ni safari rasmi ya Chama imekuaje iwe hivyo?
 
Kwani logistics za safari hazikua na uratibu? Au mlienda kama mnakwenda mkoleni ? Kama ni safari rasmi ya Chama imekuaje iwe hivyo?
Mnec Mkoa Wa mkoa wa Kilimanjaro anamiliki mabasi ya Raqeeb aliyeta bus nje ya ofisi ya ccm mkoa tukaambiwa bus hilo lipieni 45,000 kwenda Dar.

Katibu wa UWT mkoa akatuambia tulipie wenyewe nauli tukifika Dar tutarejeshewa nauli zetu, jambo ambalo limekuwa kinyume hatujapewe hata sent tano ya nauli, kulala wala kulala.


Tumefika Dar akatukimbia tukasikia yuko Dodoma ana kikao kingine.
Mateso tuliyoyapata UWT MKOA WA KILIMANJARO hatutayasahau hadi 2025.
 
Yaani ccm kwa dhulma tu, hua mko vizuri tayari katibu kafanya yake, ndio mkome unaendaje safari haujalipwa?
 
Yaani ccm kwa dhulma tu, hua mko vizuri tayari katibu kafanya yake, ndio mkome unaendaje safari haujalipwa?
Mkuu , Katibu wa UWT MKOA WA KILIMANJARO mungu aliwaumbia ulimi .
Katibu wa UWT MKOA KILIMANJARO akiongea na wewe utadhania malaika kumbe ibilisi.

Tunahitaji kumuandikia barua ya siri mama shally Raymond mbunge wetu tumlilie kilichotupata Dar yeye kama mama mwenzetu na mama yetu.

Kama sio neema ya mungu wengine tulitamani kujiuza Dar tupate pa kulala😭😭😭 ila tukamuongopa mungu na ndoa zetu
 
Si unaijua toilet paper ilivyo kabla na baada ya matumizi? Ndio kilichowakuta hao kina mama
Akina mama wa kichaga na kipare walibebwa kama vipeto vya pumba za kulishia nguruwe, kufika Dar katibu kawaacha solemba hapo waliosumbuliwa ni ndugu wanaoishi Dar, sipati picha walivokua na huzuni na posho hawakupata na wengine period zilianza ghafla kwa mawazo
 
Mkuu , Katibu wa UWT MKOA WA KILIMANJARO mungu aliwaumbia ulimi .
Katibu wa UWT MKOA KILIMANJARO akiongea na wewe utadhania malaika kumbe ibilisi...
Huwa wanawakokota kama mizoga hivo mlijua ni mchongo wa mikopo si ndio? Kiuhalisia hakuna wasio mpenda huyo mliemfuata kama wanawake wapambanaji maana wanalia hali ngumu kisa yeye
 
Akina mama wa kichaga na kipare walibebwa kama vipeto vya pumba za kulishia nguruwe, kufika Dar katibu kawaacha solemba hapo waliosumbuliwa ni ndugu wanaoishi Dar, sipati picha walivokua na huzuni na posho hawakupata na wengine period zilianza ghafla kwa mawazo
Mimi ni mmoja wapo😭
 
Back
Top Bottom