Katibu wa UWT mkoa wa Kilimanjaro jifunze alama za nyakati, punguza kupokea mlungula na warejeshee akina mama nauli walizotumia kwenda Dar

Labda ndoano, hakuna mwaume mpumbafu ataruhu mke aende kujiuza Dar ajili ya ujinga na umalaya badala ya kutunza famili, umeenda umepata faida gani sasa? shame on you
 
Acha tu yawakute ili mpunguze kiherehere. Mnaenda kumpongeza rais kwani hiyo kazi ya urais ni ya hisani au wajibu wake? Hizo siasa za kufuata Mkumbo mnaacha waume zenu ndani mnaenda kupiga uhuni, safari hii mtatia akili.
Hakuna mwanamke ambaye ameolewa ataacha ndoa ake aende kujiuza Dar na kufanya umalaya kwa mambo ya kipumbafu, wewe utaruhusu mkeo aende Dar kufanya ujinga kama huo serious?
 
Acha tu yawakute ili mpunguze kiherehere. Mnaenda kumpongeza rais kwani hiyo kazi ya urais ni ya hisani au wajibu wake? Hizo siasa za kufuata Mkumbo mnaacha waume zenu ndani mnaenda kupiga uhuni, safari hii mtatia akili.
Hakuna mwanamke ambaye ameolewa ataacha ndoa ake aende kujiuza Dar na kufanya umalaya kwa mambo ya kipumbafu, wewe utaruhusu mkeo aende Dar kufanya ujinga kama huo serious?
 
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana, mngepata ajali Angalau tupunguze akili za kiushuzi humu duniani.
Mbwa nyie
Kabisa watu wa maana wanapata ajali kumbe kuna mapumbafu mengine hapa yanatakiwa kupata ajali hata yafe kwa kujiuza
 
Alitaka baada ya kujiuza chama kimlipe tena
 
Hii ni mbuzi wa bwana Heri amekula mahindi ya bwana Heri. Pole sana. Ccm ni ile ile, kazi iendelee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Ikiwa kwenye mashelfu dukani utaipenda jinsi inavyotunzwa.. Ikifika chooni imewekewa na holder kabisa nzuri safi ya kuvutia.. Ikisha tumika sasa [emoji23] hata kushikwa kwake ni tabu
 
Ikiwa kwenye mashelfu dukani utaipenda jinsi inavyotunzwa.. Ikifika chooni imewekewa na holder kabisa nzuri safi ya kuvutia.. Ikisha tumika sasa [emoji23] hata kushikwa kwake ni tabu
😂😂😂Haya bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…