Hamas wao zaidi ya VITA wana jishughulisha na nini?
Hamas wana wings mbili, upande wa Jeshi na upande wa siasa, Hamas kama Chama cha siasa ndio Serikali ya Gaza,
1. Wanatoa Elimu, tena bora literacy rate Gaza ni asilimia 97, for comparison hakuna Nchi yoyote Sub Sahara Africa inayoipita Palestina kwa karibu inalingana na shelisheli ambayo ni asilimia 96.
2. Huduma za Afya, kama huko juu nilivyoandika kila wapalestina 100,000 kuna madaktari 210, for comparison Tanzania Ina madaktari wawili kila watu 100,000, kwa sub Sahara Africa ni Mauritius na shelisheli pekee ndio wamewapita Palestina nchi zote zilizobakia zimepitwa.
3. Kumaintain security na order. Nitakupa mfano wakati wa Covid 19 Maimamu walikuwa replaced na Madokta misikitini, Ukienda kuswali daktari anasimama kutoa hotuba namna ya kujilinda na Covid na hatua za kuchukua.
4. Foreign relations, Hamas wanategemea support toka Nchi mbalimbali kama Iran, Qatar, Uturuki, China, North Korea, Urusi etc kote huko inabidi kuwe na watu Kumaintain relationship.