Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Haya maneno we umeyapata wapi?? Hivi wagala mnajua mlivyokuwa mazuzu nyie ndo na wenzenu wote 😃,, mnavyowashobokea hao waisrael ambao hawataki hata kuwasikie nyie na ukristo wenu,, kwa hiyo na wagala wenzenu wanayoiunga mkono Palestina nao vp mana wapo pia..Kila anaembariki Mpalestina amebarikiwa na anaemlaani,amelaaniwa
Siku ukiandika hoja,nitaijibu ila Kwa sasa bado.Haya maneno we umeyapata wapi?? Hivi wagala mnajua mlivyokuwa mazuzu nyie ndo na wenzenu wote 😃,, mnavyowashobokea hao waisrael ambao hawataki hata kuwasikie nyie na ukristo wenu,, kwa hiyo na wagala wenzenu wanayoiunga mkono Palestina nao vp mana wapo pia..
Niko hapa Lebanon tangu 2008 Tangarian nilipotoka Zanzibar. Najua nacho kiandika. Wengi huko nyumbani wanaambiwa au kuhadithiwa mengi ya uongo. Media mnazoangalia nyingi zinarubuni hususan mfumo wa maisha ya GazaMisaada sio ya kujenga magorofa na barabara , Wapalestina wamakuwa kama special group tangu mwaka 1948 na nyuma ya hapo kidogo ..Hakuna msaada wa kuleta maendeleo hata kidogo .
Kinachofanyika ni kwamba pale ni kama ilivyo Dubai , hapa kwa Dubai labda uulize swali ..Basi pale palestina kuna makampuni ya maasimu na shughuli za kiuchumi ili kupunguza ushindani ; Saudia na iran wana kampuni zao ila zinajuikana kama za wapalestine . Kwa mantiki rahisi pale watu watakatisha fedha , pesa ni nyingi kuliko shughuli husika za kiuchumi . Hta israel wanaendesha kampuni zao hapo palestina .
Upuuuzi unaandika yaani watu wanaishi na kujenga Kwa Hela za misaada ,
Kazi zipo ila hapo kuna uwekezaji wa mataifa mengi ,vita ya pale nyuma ya pazia ni mikono ya watu nje ya GazaNiko hapa Lebanon tangu 2008 Tangarian nilipotoka Zanzibar. Najua nacho kiandika. Wengi huko nyumbani wanaambiwa au kuhadithiwa mengi ya uongo. Media mnazoangalia nyingi zinarubuni hususan mfumo wa maisha ya Gaza
Nikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?
Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.
Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Wengi wapo displaced kwa hio wanatumiwa pesa na ndugu zaoNikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?
Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.
Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Wanaishi Kwa misaada na pia Wana ndugu wengi nchi za ulaya na uarabuni.Nikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?
Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.
Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Kupiga mbunye na kuzalisha tu.Hamas wao zaidi ya VITA wana jishughulisha na nini?
Wapalestina wanafahamika kama Most educated Refugees in the world, wana vyuo na scientist wakubwa wakubwa Duniani, pamoja na kwamba wanaonewa kila siku, ukiangalia data za Stanford kuna Vyuo Palestine vinatoa hadi scientist 17 ambao wapo kwenye top 2% ya best scientist.Nikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?
Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.
Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Boss Palestina wana Madokta 210 kila watu 100,000 Tanzania una Madokta 2 kila watu 100,000 wamekuzidi kama mara 100 hivi,Wanajengewa ata baada yamika mitano yatatokea mengi zaid tena mazuri waarabu wameshajipanga,vitu vya msaada havnna uchungu ndomana wanaanzisha vururugu wakijua yakibomolewa yatajengwa tuu. Na wana shirika lao kabisaa lamisaada lakuwahudumia chakula kutoka umoja wa mataifa nashule mahospital ya misaada
Kunamahali nimesema palestina hakuna madoctor au. Hawana wasomi? Bas tufaanye sna nachojua wewe unajua zaid👐Boss Palestina wana Madokta 210 kila watu 100,000 Tanzania una Madokta 2 kila watu 100,000 wamekuzidi kama mara 100 hivi,
Unahisi Madokta ni msaada? Unaenda shule kusoma, unapiga Moyo konde badala ya kuzamia nchi nyengine na kula Mshahara wa maana unarudi kwenu kwenye Vita kusaidia wenzako.
Hamas wana wings mbili, upande wa Jeshi na upande wa siasa, Hamas kama Chama cha siasa ndio Serikali ya Gaza,Hamas wao zaidi ya VITA wana jishughulisha na nini?
Wengi wao wana elimu nzuri wengi Wahandisi, Madaktari bingwa, wasanifu majengo, pamoja nahayo wasio na ajira wanalima sana Zabibu,mboga wanafuga, wana fukwe nzuri hasa Gaza kwaajili ya utalii waisrael walikua wanalipa pesa ndefu mapumziko beach, waliobahatika katika ajira wameajiriwa na wanafanya kazi ndani ya Israel wanalipwaNikiangalia picha za Maeneo yote ya Palestina kuna maghorofa tena ya maana sana. Ila sifahamu wao hao raia wa Taifa hilo wanapata wapi pesa kiasi cha kuweza kujenga maghorofa tupu katika miji yao?
Ukiangalia picha za vita, Tizama maghorofa ya Palestina, linganisha na Maghorofa ya Ukraine, utashangaa kuona Palestina ni Taifa lina Majengo mazuri na Imara sana, hata magofu/masalia yanonesha hivyo.
Nini shughuli za wapalesina hasa katika ardhi yao, tukiacha maeneo yaliyokumbwa na vita. Je ni Mafuta, au nini hasa huwapa pata la kuweza kumudu kujenga majumba makubwa kiasi kile?
Sahihi source yao kubwa hiyo cheki wapalestina wenyewe hapa wakionyesha mbinu wanazotumia kupata pesaHuenda wafadhili wake kina iran, qatar na mataifa mengine pro palestine wanawapa hela za kufanya maendeleo yao
Kipato chao ni Manna na SalwaInawezekana, kwasababu ukiangalia kwenye picha, hakuna Nyumba ya hovyo hovyo kama hizi zetu hapa. Kule ni Maghorofa tupu na siyo maghorofa uchwala ni maghorofa kweli.
Lakini sijawahi kusikia kama Palestina wanachimba mafuta, au wana uza madini nje au labda wanalima sana kuliko sisi.
Ardi yenyewe jangwa lile nikiangalia masalia ya vita sioni hata bustani za Mboga, huwa najiuliza wao kipato chao hutoka wapi?
Upanga = Shia = Iran, soft power ya Iran haizungumzwi ila hao jamaa wana mkono mrefu sana kwa matajiri wengi duniani.Kuna siku Niko upanga niliona tangazo la kuichangia Palestine