Ni wazi sana kwamba sio tu una tatizo la akili, bali huna elimu ya kutosha kuelewa dunia inavyokwenda. Wonyesho wako wa kukosa akili unajidhihisha pia na comment zako, kuwa "hujui mpaka wa Tanzania na Malawi uko wapi, na kama kuna mgogoro mbona Chakwera kafanya ziara bongo". Hayo ni maoni ya mtoto wa darasa la pili.
Mafuta yakiwa ziwani ardhini , sio kwamba yanakaa sehemu moja ardhini. Yanakuwa kwenye reservoir iliyosambaa. Exploration ni pamoja na kupata the optimum point ya kufanya drilling. Kwa ziwa Nyasa basi, mwamba wa mafuta unaweza kuwa umesambaa pande zote mbili, Tanzania na Malawi.
Hivyo katika maeneo madogo ya mafuta kati ya nchi mbili inakuwa busara kwa nchi hizo kufanya joint oil production projects. Na huo pia ndio mtazamo tulio nao kwa mafuta yaliyo Ziwa Tanganyika, kufanya joint oil production projects na DRC mara tutakapowaondoa rebels walio eneo la mafuta upande wa DRC.
Sasa je, suala la joint projects ni geni? Hapana. Mafuta yaliyo eneo la North Sea eneo la bahari inayayounganisha nchi kama Norway, Denmark na UK, hili pia ndilo linalofanyika. Na pia linaokoa gharama, kwa kuwa mnaweza kujikuta mnatengeneza oil production platform upande wa Tanzania na Malawi na kuchimba mafuta toka oil reservoir moja ingawa mnafuata mipaka yenu.
Sasa umejiona usivyo na akili, unabisha wala hujui unabishana na nani na ana ufahamu gani juu ya mambo haya unaleta fyokofyokofyoko mambo usiyoyaelewa. Pumbafu sana wewe. Nimekuambia unakuwa na kiherehere kujibu thread kama kipigo cha kwanza. Kakojoe ulale.
Nimetumia maneno ya kiingereza humu, usipoelewa omba jirani akutafsirie.