Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #21
Mpumbavu sana wewe! HUna akili umekaa kutukana kwa kuwa una hasira na watu wenye elimu kukuzidi.Pumbavu wewe, lini Mwandosya alitatua mgogoro wa Rwanda na Tanzania?
Tanzania ilipeleka majeshi yake Drc na waasi wa M23 waliokuwa wanadhaminiwa na Rwanda walifurushwa.
Unatoa mifano ha kipuuzi, koplo wa siasa ndio nini?
Acha na mjinga huyu, nimemtolea extract hii hapa chini sijui kama atakuwa na cha kuongea tenaHujui kitu ndiyo maana umeanza na tusi.
Uliza ueleweshe ee kopolo.
Wewe ni mburula unaejifanya unajua nini maana ya border line?Ni wazi sana kwamba sio tu una tatizo la akili, bali huna elimu ya kutosha kuelewa dunia inavyokwenda. Wonyesho wako wa kukosa akili unajidhihisha pia na comment zako, kuwa "hujui mpaka wa Tanzania na Malawi uko wapi, na kama kuna mgogoro mbona Chakwera kafanya ziara bongo". Hayo ni maoni ya mtoto wa darasa la pili.
Mafuta yakiwa ziwani ardhini , sio kwamba yanakaa sehemu moja ardhini. Yanakuwa kwenye reservoir iliyosambaa. Exploration ni pamoja na kupata the optimum point ya kufanya drilling. Kwa ziwa Nyasa basi, mwamba wa mafuta unaweza kuwa umesambaa pande zote mbili, Tanzania na Malawi.
Hivyo katika maeneo madogo ya mafuta kati ya nchi mbili inakuwa busara kwa nchi hizo kufanya joint oil production projects. Na huo pia ndio mtazamo tulio nao kwa mafuta yaliyo Ziwa Tanganyika, kufanya joint oil production projects na DRC mara tutakapowaondoa rebels walio eneo la mafuta upande wa DRC.
Sasa je, suala la joint projects ni geni? Hapana. Mafuta yaliyo eneo la North Sea eneo la bahari inayayounganisha nchi kama Norway, Denmark na UK, hili pia ndilo linalofanyika. Na pia linaokoa gharama, kwa kuwa mnaweza kujikuta mnatengeneza oil production platform upande wa Tanzania na Malawi na kuchimba mafuta toka oil reservoir moja ingawa mnafuata mipaka yenu.
Sasa umejiona usivyo na akili, unabisha wala hujui unabishana na nani na ana ufahamu gani juu ya mambo haya unaleta fyokofyokofyoko mambo usiyoyaelewa. Pumbafu sana wewe. Nimekuambia unakuwa na kiherehere kujibu thread kama kipigo cha kwanza. Kakojoe ulale.
Nimetumia maneno ya kiingereza humu, usipoelewa omba jirani akutafsirie.
Na Mbeki na Chisano waliteuliwa na SADC kutafuta nini juu ya Tanzania na Malawi, washenga wa Kikwete kutoa posa kwa Muluzi?Simply hatuna mgogoro ziwa nyasa.
Tungo tata unafundisha watu kiswahili humu JF mpuuzi wewe. Wewe unaufahamu gani zaidi ya kujifanya unajua. Kama unaufahamu unaweza kusema mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi upo! Hivi wewe unajua uzito wa mgogoro wa mpaka? Unajua athari za kumega eneo la taifa lolote?Sasa kama hujui hata matumizi ya tungo tata kama koplo wa siasa, utawezaje kuelewa thread kama hizi? Hebu kabebe mizigo ya wakulima sokoni. Sio kosa letu kwamba hukwenda shule, acha hasira na watu wanaokuzidi ufahamu. Una matatizo kichwani wewe.
Tatizo lako ni kwamba ujinga wako unapofunuliwa unaanza kutapatapa na maneno.Wewe ni mburula unaejifanya unajua nini maana ya border line?
Huo utafiti kuwa hifadhi ya mafuta chini ya ziwa nyasa imesambaa Tanzania na malawi ilifanyika lini? Wewe una documenta gani inayoonyesha jinsi hifadhi ya mafuta ilivyokaaa?
Unarahisiha habari ya joint projects unadhani ni kitu rahisi kama unavyokunya chooni!
We mburula nae ujifanye unajua habari za Oil production,Pumbaf
Kwa kuwa waliteuliwa ndio bado kuna mvutano? Bichwa maji wewe.Na Mbeki na Chisano waliteuliwa na SADC kutafuta nini juu ya Tanzania na Malawi, washenga wa Kikwete kutoa posa kwa Muluzi?
View attachment 1624679
Unaniuliza mimi nimefanya Exploration drilling ziwa nyaza? Mpuuzi wewe si unajifanyabu unajua hata jinsi mafuta yalivyokaa wakati hujui kitu fala wewe..Tatizo lako ni kwamba ujinga wako unapofunuliwa unaanza kutapatapa na maneno.
Nikuulize swali kama una akili. Oil reservoir inaweza kuwa na urefu au upana wa km ngapi, na upana wa Ziwa nyasa kutoka Tanzania hadi Malawi ni km ngapi?
Soma hapa mjinga wewe - aah, nimesahau hujui kiingereza. Omba jirani akufafanulie.Tungo tata unafundisha watu kiswahili humu JF mpuuzi wewe. Wewe unaufahamu gani zaidi ya kujifanya unajua. Kama unaufahamu unaweza kusema mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi upo! Hivi wewe unajua uzito wa mgogoro wa mpaka? Unajua athari za kumega eneo la taifa lolote?
Bongo kama kungekuwa na dikteta si dhani hata huo mda wakutumia keybody kuandika ungeupataWatagombana muda siyo mrefu, dikteta anajiona yupo sahihi 100% kuliko mtu yoyote
Ahaa, kwa hiyo mvutano umekwisha sivyo? Sasa ndio unakiri kulikuwa na mvutano? Nimekwambia una kiherehere sana cha kujibu thread, typical ya watu wenye elimu duniKwa kuwa waliteuliwa ndio bado kuna mvutano? Bichwa maji wewe.
Mpumbavu we una elimu gani, kutuma ujumbe kujifunza masuala ya kiuchumi ndio kusuluhisha mgogoro? Nafikiri hata la saba hujamalizaMpumbavu sana wewe! HUna akili umekaa kutukana kwa kuwa una hasira na watu wenye elimu kukuzidi.
Na kama unajua Kiingereza soma hapa chini ujio
View attachment 1624670ne ulivyo poyoyo
Hii ilikuwa lini ? We mburulaSoma hapa mjinga wewe - aah, nimesahau hujui kiingereza. Omba jirani akufafanulie.
View attachment 1624684
View attachment 1624688
We ni mpuuzi huna akili. Mtu mwenye elimu hawezi kuandika upuuzi kama huu. Unapapasa hujui hata hifadhi ya mafuta iko pande zipi unakurupuka kutoa ushauri, utakuj kuolewa ukiwa jela.Ahaa, kwa hiyo mvutano umekwisha sivyo? Sasa ndio unakiri kulikuwa na mvutano? Nimekwambia una kiherehere sana cha kujibu thread, typical ya watu wenye elimu duni
We unaweza kunifungua mimi akili juu ya nini? Upuuzi wa kujifanya unajua?Tatizo lako ni kwamba ujinga wako unapofunuliwa unaanza kutapatapa na maneno.
Nikuulize swali kama una akili. Oil reservoir inaweza kuwa na urefu au upana wa km ngapi, na upana wa Ziwa nyasa kutoka Tanzania hadi Malawi ni km ngapi?
Ona sasa ulivyo mpumbavu na unavyoanika upumbavu wako mbele za watu. Hivi katika akili zako ndogo unategemea KIkwete angesema "Nimemtuma Mwandosya kwenda Rwanda kusuluhisha mgogoro kati yangu na Kagame"?Mpumbavu we una elimu gani, kutuma ujumbe kujifunza masuala ya kiuchumi ndio kusuluhisha mgogoro? Nafikiri hata la saba hujamaliza
Hii ilikuwa lini ? We mburula
Ni kweli siwezi kukufunza kitu, itakuwa kama kumfundisha mbuzi kusoma na kuandikaWe unaweza kunifungua mimi akili juu ya nini? Upuuzi wa kujifanya unajua?
Kwa hiyo kujifunza masuala ya uchumi lazima awe waziri wa fedha? Nakuuliza ulimaliza hata la saba? Maana unapayuka huenda hata la saba hujamaliza.Ona sasa ulivyo mpumbavu na unavyoanika upumbavu wako mbele za watu. Hivi katika akili zako ndogo unategemea KIkwete angesema "Nimemtuma Mwandosya kwenda Rwanda kusuluhisha mgogoro kati yangu na Kagame"?
Hivi hujaona hata magazeti yaliweka hiyo mission ya "kujifunza masuala ya kiuchumi" kwenye vifungua sentensi?
Na kama ni kujifunza masuala ya uchumi kweli, kwa nini atumwe Mwandosya na sio Waziri wa Fedha ambao mambo ya uchumi ndio jukumu lake?
Una IQ ya 1% inayokuwezesha kubisha na kutukana tu basi
Mwandosa alienda kwenye masuala yanayohusu social and economic issues.Ahaa, kwa hiyo mvutano umekwisha sivyo? Sasa ndio unakiri kulikuwa na mvutano? Nimekwambia una kiherehere sana cha kujibu thread, typical ya watu wenye elimu duni
Umebisha kwa matusi Mwandosya hakutumwa Rwanda, tumekupa ushahidi
Umebisha hakuna mgogoro, tumekupa ushahidi
Umebisha hakuna joint ventures za oil production kati ya nchi na nchi, tumekupa mifano
Lakini bado unabisha tu.
Watu kama wewe mnapaswa kuhasiwa mzizae, mbegu mbaya kabisa katika jumuia ya wastaarabu
Hapana, kwa kuwa kwa maoni yako Kikwete angeweza kumtuma waziri wa vijana na utamaduni kwenda kujifunza masuala ya uchumi.Kwa hiyo kujifunza masuala ya uchumi lazima awe waziri wa fedha? Nakuuliza ulimaliza hata la saba? Maana unapayuka huenda hata la saba hujamaliza.