Katika awamu hii chini ya Rais mpya Malawi, Magufuli atumie fursa hii kutatua mgogoro wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania

Social and economic issues lazima awe waziri wa fedha?
 
Pumbavu wewe, lini Mwandosya alitatua mgogoro wa Rwanda na Tanzania?

Tanzania ilipeleka majeshi yake Drc na waasi wa M23 waliokuwa wanadhaminiwa na Rwanda walifurushwa.

Unatoa mifano ha kipuuzi, koplo wa siasa ndio nini?
Kuna watu wengine wanaropokaropoka kama Mwandosya ni ndugu yako nenda kamsalimie lakini sio kutusndikis utopolo
 
Social and economic issues lazima awe waziri wa fedha?
Ingekuwa enzi zile ningekuambia unauliza jibu, maana nadhani angalau una akili ya kutosha kujua waziri wa fedha Tanzania ndio anashughulikia mambo ya uchumi pia!😛
 
zipigwe kwanza mshindi achimbe mafuta
 
Ingekuwa enzi zile ningekuambia unauliza jibu, maana nadhani angalau una akili ya kutosha kujua waziri wa fedha Tanzania ndio anashughulikia mambo ya uchumi pia!😛
Huna lolote hoja zako unaziibua kwa hisia tu, na ufahamu mdogo kujifanya unajua.
 
Huna lolote hoja zako unaziibua kwa hisia tu, na ufahamu mdogo kujifanya unajua.
Njoo unikosoe, kuna thread nyingine nimeanzisha

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…