Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Tell them.

Huu ndio UKWELIII.

Lakini manyumbu waliolishwa sayansi za uongo za secondary school hawawezi kuelewa hili.

Ni rahisi sana kulaghai watu kuliko kuwaamsha na kuwaeleza kuwa mnadanganywa.

Hebu fikiri, miaka yote ile umesoma sekondari na vyuo vikuu kumbe ulikuwa unalishwa udanganyifu. INAUMAJEE!!!

Unaweza kuamua kuendelea kuamini uongo ili uepuke maumivu ya kuambiwa UKWELI.
 
Hata kwa macho tu tunaona jua ndilo huizunguka dunia,lkn wanasayansi wanaforce tuamin jua halizunguki bali dunia ndio huzunguka[emoji23][emoji23][emoji23].

Sema mengine tutakuja kuamn pale watakapoumbuka
Mambo ya ajabu sana.

Mtu anaona kabisa jua linazunguka lakini yuko radhi kuamini vinginevyo!

Kheee! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimesoma komenti na hoja za wachangiaji kuna kitu cha kujifunza hapa.
Je kati ya dunia na jua kipi kinazunguka kingine? Mwenye reference aweke au kama kuna haja ufunguliwe uzi kwa suala hili tuu. Tujifunze.
 
Tz vipi hatuwezipata kakiwanja huko?
 
Nimesoma komenti na hoja za wachangiaji kuna kitu cha kujifunza hapa.
Je kati ya dunia na jua kipi kinazunguka kingine? Mwenye reference aweke au kama kuna haja ufunguliwe uzi kwa suala hili tuu. Tujifunze.
Mkuu kuwa makini na comments hizo unazozisoma, kuna wengine wanaongea as if wamekatika vichwa na wakiendeshwa na hisia, sababu ya baadhi ya watu kuhisi jua ndio linazunguka dunia ni Kwa sababu tunaona sunrise and sunset

Kiuhalisia kuwa dunia na sayari zingine ndio znazinguka JUA, na jua ndio center ya solar system yetu, na wakati huo huo JUA linajizungusha katika muhimili wake

Na kumbuka jua ndio chanzo cha uhai katika dunia yetu, kwakuwa linatupatia mwanga na nishati, Mimea inahitaji mwanga ili ikue na iwe hai, na ikiwa hai itazalisha hewa ya oxygen ndipo viumbe hai kama wanyama tutaendelea kuwa hai katika dunia

Kitu wanachoongelea hawa mabwana kuwa jua ndio linazunguka dunia kinaitwa geocentric model, ni theory iliyokuwa inadhaniwa na watashi zama za zamani sana, wa kina Aristotle, ukipata wasaha jaribu kuigugo ili upate maarifa

ili JUA liizunguke DUNIA kuna vitu lazima vichange, cha Kwanza ni size ya DUNIA na JUA, inabidi DUNIA iwe kubwa sana kuliko JUA, au at least viwe Sawa Sawa ili kuleta balance katika orbit (gravitational pull)

Mtu ambae anasema JUA linaizunguka DUNIA ni either hajui chochote kuhusu Solar system,hajui chochote kuhusu kazi ya JUA katika solar system yetu au ameamua tu kujitoa ufahamu
 
Matakataka ya secondary school. Hizo ndizo shule za kusomea ujinga anazozisemaga FaizaFoxy.

Nikikuuliza umepata wapi haya maarifa, bila shaka utaniambia ulifundishwa na mwalimu wa jografia wa form two.

A dangerous knowledge which is full of rubbish and APPARENT DECEPTION. Hii ni elimu ya IBILISI MDANGANYIFU.

Wewe unaona kabisa DHAHIRI SHAHIRI kwamba JUA LINAJONGEA lakini umeshupaza shingo ati dunia inajizungurusha kwa kuwa tu ulibugia NOTES za secondary school zilizotungwa na akina NAPE NNAUYE na jopo lake la WALAGHAI.

Jameni!! Kaaah! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica
Nimewahi kuwaza hili jambo na niliwashirikisha watu wengi akili zao zimeshikwa na mitaala.
 
Ni Mwalimu Gani huyo alikufundisha kuwa Bars la Antarctica halíkaliwi na Watu?? Mtafute umuulize Vizuri...na umshauri aache Kazi ya Ualimu!
Jiongeze. Ni mambo machache ya maana na ya kweli yanayofundishwa shuleni. (Mambo mengi ya shuleni ni fabricated)
 
Fikiri kwa kina!

Kwanini Marekani na Urusi wawe majirani karibia kuungana hadi kupelekea kuuziana jimbo la Alaska, wakati nchi moja iko mashariki mwa dunia na nyingine ipo magharibi mwa dunia?

Sijui kama kwako nimeeleweka vizuri.
Kutoka marekani mpaka urusi kwa ndege ni km ngapi?? Na umbali wa kutoka urusi mpaka marekani ni km ngapi?
 
Jua linamove? Au dunia ndio ina rotate? [emoji23][emoji23]
Jua linamove kwa kuizunguka dunia ndio maana jua linazama na kuchomoza. Mfanp ni ulitupe jiwe kwenye maji, je maji yatazama au jiwe litazama? Kinachozama ndio kinachotembea.
 
Jua linamove? Au dunia ndio ina rotate? [emoji23][emoji23]
Jua linamove kwa kuizunguka dunia ndio maana jua linazama na kuchomoza. Mfanp ni ulitupe jiwe kwenye maji, je maji yatazama au jiwe litazama? Kinachozama ndio kinachotembea.
 
Itoshe kusema i feel your so blessed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…