Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Piramidi x= Pyramid ✓
Sina historia ya kushindwa katika ubishi , nikichokiandika ni sawa kwani niliyemkosoa aliandika kwa Kiswahili na mimi nikamrekebisha kuonesha namna sahihi ya kuandika neno lake kwa Kiswahili.
Screenshot_20220715_181554.jpg


Cheki kamusi chini hapo kama unabisha bisha tena.
Screenshot_20220715_181518.jpg
 
Tunapata usiku na mchana baada ya jua kuchwea mashariki na kuwia magharibi.


Swali lingine?
So it's simple like that? Elezea kama mtu unaejua unachokiongea..!

Jua kuchwea mashariki then linaenda wapi ili litokee magharibi kama dunia ni Flat? Au wewe unavaa mkenge tu wa kushabikia kuwa dunia ni Flat ila kichwani mweupe...!

Kama hujui Flat Earthers wao wanaongelea vipi hii scenario ya usiku na mchana kasome ili uwe na majibu siku ingine sio kuvamia vamia tu ambazo ziko juu ya uwezo wako, na kama unajua basi njoo na maelezo yanayojitosheleza

Na ningependa kujua pia endapo dunia ni Flat Inakuaje hivi sasa TANZANIA ni sa 21:09 wakati huu huu ni jumamosi na sa 1:15

Usiwe na haraka mkuu, tulia utetee hoja zako ili ueleweshe watu wanaoamini kuwa dunia ni tufe
 
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Fikiri kwa kina!

Kwanini Marekani na Urusi wawe majirani karibia kuungana hadi kupelekea kuuziana jimbo la Alaska, wakati nchi moja iko mashariki mwa dunia na nyingine ipo magharibi mwa dunia?

Sijui kama kwako nimeeleweka vizuri.
 
Tofauti ya saa kutoka nchi moja hadi nyingine inaashiria kuwa dunia ni flat? Ships visibility je?
Ship visibility sio evidence ya uspherical wa dunia kwasababu...anayekuchallenge atajuambia meli inaonekana kutokea chini kwasababu ya UMBALI na ndio maana ukiikaribia utaiona yote vizuri tu.

Distance matters

Reasonable evidence ni Sunrise n sunset
 
Tuelezee kidogo kama kuproof picha tu haitoshi.
Dunia duara kuna majira,usiku mchana iyo flati inakuaje.
Dunia si duara kamili kama inavyooneshwa ktk picha zao, bali ni nusu duara ambalo linaning'inia juu ya kuta za barafu(atrantic), pia kuhusu mzunguko wa dunia hilo sahau maana dunia haizunguki, bali jua ndilo huizunguka dunia na kusababisha usiku na mchana,

Jua si kubwa kama wanavyoelezea ktk sayans za uongo, mwezi nao nadhani wajua kuwa unaizunguka dunia ili kukamilisha matukio muhim ya kidunia, endapo mwez utasimama basi maisha ya dunia yatasimama pia kifo kitasimama maana kazi mojawapo ya mwezi ni kucontrol muda, kama mtu yeyote atafanikiwa kukanyaga ardhi ya mwezi basi kamwe hatokufa maana atavuka mipaka ya muda.

Jinsi unavyoukalibia mwezi ndivyo life span yako inaongezeka, yaan namaanisha jinsi unavyokwenda karibu na mwezi ndivyo miaka yako huenda kasi na kujikuta unazeeka haraka so utafika mwezini ukiwa maiti, that's why nimesema ukifika ktk uso wa mwez bas hutokufa tena.

Kuna mengi lakn sitoeleza sana wapingaji ni wengi na wew unaweza usielewe
 
Tofauti ya saa kutoka nchi moja hadi nyingine inaashiria kuwa dunia ni flat? Ships visibility je?
Dunia ni nusu duara na sio duara kamili..

Uso flat upo ktk ardhi hii tuikanyagayo lkn mduara upo ktk miamba ya kuta za barafu ambayo ndio iyo mnaita atrantic.

Si lazima unielewe
 
Huu ndio ukweli.

Matapeli wanatuambia dunia ni mviringo! Kye! kye! kye! kye! kye!

Yaani hata kwa macho ya kawaida unaona kabisa dunia ni tambarare lakini jamaa wamekomaa wanasema dunia ni YAI. [emoji1787][emoji1787]
Hata kwa macho tu tunaona jua ndilo huizunguka dunia,lkn wanasayansi wanaforce tuamin jua halizunguki bali dunia ndio huzunguka[emoji23][emoji23][emoji23].

Sema mengine tutakuja kuamn pale watakapoumbuka
 
Fikiri kwa kina!

Kwanini Marekani na Urusi wawe majirani karibia kuungana hadi kupelekea kuuziana jimbo la Alaska, wakati nchi moja iko mashariki mwa dunia na nyingine ipo magharibi mwa dunia?

Sijui kama kwako nimeeleweka vizuri.
Simple.

Pande kuu za dunia zinatakiwa kupimwa kuanzika katikati mwa afrika na si sehem nyingine.

East ni nchi zetu za east afrika na Asia.

Magharibi ni huko west afrika ktk nchi za nigeria, ghna na vijipande vya continent la america kaskazini+kusini,
Pia north ni nchi za afrika ukijumlisha na vijipande vya continent la ulaya.

Kiufupi, bara ni moja tu ambalo ni afrika, hivyo vijipande vingine ni ardhi zilizomeguka kutoka afrika iliyokuwa bara moja before, kwahiyo hata ramani halisi ya dunia huwezi ipata kamwe maana washenzi wa dunia hii walishaiharibu
 
Aisee kama hujui jambo bora ukae kimya,mbona tafiti nyingi tu zinaendelea huko...nchi nyingi tu zimepiga kambi.

Ina maana hata kuingia tu YouTube kusearch huwezi?

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Simple.

Pande kuu za dunia zinatakiwa kupimwa kuanzika katikati mwa afrika na si sehem nyingine.

East ni nchi zetu za east afrika na Asia.

Magharibi ni huko west afrika ktk nchi za nigeria, ghna na vijipande vya continent la america kaskazini+kusini,
Pia north ni nchi za afrika ukijumlisha na vijipande vya continent la ulaya.

Kiufupi, bara ni moja tu ambalo ni afrika, hivyo vijipande vingine ni ardhi zilizomeguka kutoka afrika iliyokuwa bara moja before, kwahiyo hata ramani halisi ya dunia huwezi ipata kamwe maana washenzi wa dunia hii walishaiharibu
Hapo hoja haujaielewa ingawa umeeleza vizuri kwenye reply yako.

Katika comment yangu uliyoijibu, nilikuwa natoa ufafanuzi wa nadharia ya dunia jinsi ilivyo duara.
 
NANI KAKWAMBIA HAISHI MTU

KUNA RESEARCH FACILITIES NA STATIONS YA BAADHI YA NCHI NA WATAALAMU WAPO HUKO WANAISHI

PENGUINS HAWA MAMALS WANAISHI PAMOJA NA DUBU WEUPE KUNA PIA SEAGUALS


BARADI NA BARAFU HIVYO KUKOSEKANA KWA ARABLE LAND FOR AGRICULTURE KUMEFANYA BINADAMU WASIWEZE KU SURVIVE HUKO.
 
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Hujaangalia vizuri,kuanzia longtude ya Greenwich yaani GMT ambayo ni nyuzi 0,kuelekea mashariki Kuna nyuzi 180 na kuanzia Tena GMT kuelekea magharibi Kuna nyuzi 180.Ukizijumlisha zote unapata nyuzi 360 ambalo ndo duara Zima.Pili ukiangalia mwisho wa Alaska ,USA inakaribia kugusana na Urusi hivyo unachokiona hapo kwa ramani siyo upande mmoja bali ni duara Zima.Hawaii na Japan pia ni pua na mdomo.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?

chukua chungwa au kitenesi,chora midoli 4 kuuzunguka,halafu chora mchoro wa uso wake baada ya kuuchora katika uso wa karatasi kwa picha moja tu ikionyesha michoro yote minne,utalazimika kuukata na kuutandanza kwenye karatasi,wakati mpira halisi ukibaki mviringo na michoro yake.
 
Jua linamove? Au dunia ndio ina rotate? [emoji23][emoji23]
Wewe unaonaje?

Angalia angani uniambie kati ya jua na ardhi kipi kinatembea.

Najua uko radhi kudanganywa na picha za kompyuta kuliko kuamini kile unachokiona dhahiri shahiri.

Mass formation psychosis Mathanzua
 
Back
Top Bottom