Kwa mimi ninavyojua, ilo continent kabla ya dunia kujimega vipande kutoka sehem moja(pangea) lilikuwa sehem ya bara la afrika na pia kuna wakazi walikuwa wakiishi huko.
Pia theory ya flat earth huwa unaweza kupata proof kutoka huko, maana mpka sasa hakuna anayeweza kuleta umbo halisi la dunia nje ya mipicha ya photoshoot kutok kwenye macomputer na picha za uongo kutoka NASA.
Masalia ya mabaki ya wakazi wa zamani ambao baadhi yao hawakuwa wakazi halisi wa dunia hii waweza yapata huko, pia technolojia ya watu wa kale imebaki huko, so wenye dunia yao hawawez ruhusu pua ya mtu ivuke huko kirahisi, watawawekea vikwavo vingi na uongo uongo mwingi wa kuwatisha ili msiendw huko, but behind the scene kuna mazito.
Haya ndiyo niyajuayo.
View attachment 2290830