Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
mabeberu ni wahuni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Kwa nyie mnaamini ni ukingoni mwa dunia...! ila wote tunajua penye ukingo basi kuna mwanzo, sasa ili huko pawe ukingoni je mwanzoni pa dunia ni wapi mkuu?S
Sisi wa flat earth society tunaamini kuwa hilo bara ni katika ukingo wa dunia, hivyo si rahisi Kwa wapenda Dunia kwenda huko pembezoni.
Toa nondo unazozijua,punguza ujuajiNi Mwalimu Gani huyo alikufundisha kuwa Bars la Antarctica halíkaliwi na Watu?? Mtafute umuulize Vizuri...na umshauri aache Kazi ya Ualimu!
Nani alikufundisha kuwa dunia ni duara?Sawa Kwa nyie mnaamini ni ukingoni mwa dunia...! ila wote tunajua penye ukingo basi kuna mwanzo, sasa ili huko pawe ukingoni je mwanzoni pa dunia ni wapi mkuu?
Na kama hiyo haitoshi kama dunia ni flat je tunapataje usiku na mchana? Maana isije ikawa kuamini dunia ni flat ni kama Imani tu ambayo mtu unaamua tu kuamini ata kama hakuna majibu ya maswali muhimu
Picha ni edited ili kuyaweka mabala yote pamoja kwa reasons za kielimu, thats why kwenye picha unaona Marekani na Russia ziko mbali while ziko jirani tu hata kisafiri ni masaa machache tu.Huenda ni bahari, na ile picha si ni edited tu mkuu sidhani kama ni exactly ndivyo dunia huonekana vile huenda kuna vitu wamepunguza/kuongeza kulingana na mahali picha inapoenda kutumika, kwamba hivyo vyombo vyao ndo vimeipiga picha ikaonekana vile??
Kwa mimi ninavyojua, ilo continent kabla ya dunia kujimega vipande kutoka sehem moja(pangea) lilikuwa sehem ya bara la afrika na pia kuna wakazi walikuwa wakiishi huko.
Pia theory ya flat earth huwa unaweza kupata proof kutoka huko, maana mpka sasa hakuna anayeweza kuleta umbo halisi la dunia nje ya mipicha ya photoshoot kutok kwenye macomputer na picha za uongo kutoka NASA.
Masalia ya mabaki ya wakazi wa zamani ambao baadhi yao hawakuwa wakazi halisi wa dunia hii waweza yapata huko, pia technolojia ya watu wa kale imebaki huko, so wenye dunia yao hawawez ruhusu pua ya mtu ivuke huko kirahisi, watawawekea vikwavo vingi na uongo uongo mwingi wa kuwatisha ili msiendw huko, but behind the scene kuna mazito.
Haya ndiyo niyajuayo.View attachment 2290830
Ni Mwalimu Gani huyo alikufundisha kuwa Bars la Antarctica halíkaliwi na Watu?? Mtafute umuulize Vizuri...na umshauri aache Kazi ya Ualimu!
S
Sisi wa flat earth society tunaamini kuwa hilo bara ni katika ukingo wa dunia, hivyo si rahisi Kwa wapenda Dunia kwenda huko pembezoni.
Kwa mimi ninavyojua, ilo continent kabla ya dunia kujimega vipande kutoka sehem moja(pangea) lilikuwa sehem ya bara la afrika na pia kuna wakazi walikuwa wakiishi huko.
Pia theory ya flat earth huwa unaweza kupata proof kutoka huko, maana mpka sasa hakuna anayeweza kuleta umbo halisi la dunia nje ya mipicha ya photoshoot kutok kwenye macomputer na picha za uongo kutoka NASA.
Masalia ya mabaki ya wakazi wa zamani ambao baadhi yao hawakuwa wakazi halisi wa dunia hii waweza yapata huko, pia technolojia ya watu wa kale imebaki huko, so wenye dunia yao hawawez ruhusu pua ya mtu ivuke huko kirahisi, watawawekea vikwavo vingi na uongo uongo mwingi wa kuwatisha ili msiendw huko, but behind the scene kuna mazito.
Haya ndiyo niyajuayo.View attachment 2290830
Inahusianaje na Mtu kutaka kuongeza Ilmu Sheikh?Umeshaimaliza njaa ya apo nyumbani kwenu.
We jamaa inabidi ufike hatua uache tabia ya kujibu vitu Kwa mihemko kwenye comments zako...! hapo umeona nimeongelea habari ya dunia duara?Nani alikufundisha kuwa dunia ni duara?
We jamaa inabidi ufike hatua uache tabia ya kujibu vitu Kwa mihemko kwenye comments zako...! hapo umeona nimeongelea habari ya dunia duara?Nani alikufundisha kuwa dunia ni duara?
Tunapata usiku na mchana baada ya jua kuchwea mashariki na kuwia magharibi.Tuanze na tunapataje usiku na mchana kama dunia ni Flat?
By the way, Nani aliekufundisha kuwa dunia ni Flat?
Hii chai, hapo kweli ni Antarctica?Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica
Piramidi x= Pyramid ✓Pilamidi×=Piramidi✓
Sisi tuambiwe tu habari za kula kimasihara, kuchakata mbususu, kukosoana kwenye uandishi na kutengeneza nyuzi za chaiSio tafiti nyingi,Malizia tafiti zote tu.Waafrika hayo sio mambo yetu.