Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica
Baada ya kingo kuna nini?
Kama ndio mwisho wa dunia mwanzo wa dunia ni upi?
Kama ndio mwisho wa dunia inamaana ukienda pande 16 za dunia utalikuta hilo bara na kingo zake?
 
Antarctica

Kuna kitu kinanifikirisha sana kuhusu hili bara lisiloongelewa sana.

Wakati nasoma tulisoma mabara yote 6 vizuri kabisa na jamii ziishizo huku zinafahamika lakini tukaambiwa hili bara halikiwi na binadamu kwasababu ya baridi lake kali.

Je ni halikaliwi au halikuwahi kukaliwa kabisa!?

Na halikaliwi na binadamu sawa lakini ndo hata halifanyiwi tafiti mbalimbali maana ni kubwa kusema walishamaliza kulifanyia tafiti sidhani kama inawezekana!.

Yaani wanaenda anga za mbali huko, wanatuma rockets mbali kabisa na dunia kutafuta taarifa za huko nje lakini za hapa ndani kwetu mbona kama hazijitoshelezi.

Hili bara halina mimea na viumbe hai wengine?
Halina milima na mabonde ama vitu vya thamani zaidi ya kua na barafu tu?

kuna space suits za kuendea huko juu na wakasurvive ina maana hakuna chombo/mavazi ya kuendea hili bara!?

Vipi kwenye angle ya utalii (tumekaribishwa njombe kutalii baridi), vipi huko kwenye hilo bara hakuna hata cha kutalii!?

Nilijaribu kuchek mtandaoni nikaona bado vitu vinafichwa sana kulihusu japo umbali kutoka nchi zilizo kusini mwa dunia mpaka hilo bara si mbali kabisa kwa ndege. Mfano kutoka Australia ni km 6400 kama masaa 9 tu kwa ndege. Km 6927 kutoka South Africa.

Mwenye picha maelezo au source yoyote tunayoweza pata habari zaidi kuhusu hili bara tafadhari tujuze.
Mbona walishaligawana,kila taifa kubwa Lina kipande chake?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mkuu salaam kwanza Antarctica ni bara la mwisho kugunduliwa yaani liligundukiwa juzi tu hapo mwaka 1820 na baada ya hapo likaja kutembelewa kwa mara ya kwanza miaka mia baadae..kwa sasa Antarctica wakubwa wa dunia wamejimilikisha maeneo na hutumika zaidi kufanyia research za kisayansi kuna nchi kama Usa,Pakistani, India,Chile,Norway,Argentina,France na UK Zina maeneo huko...
Kweli kabisa

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni Mrumi kaja na nadharia za akina St. Thomas Acquinus na Cicero.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Hilo hapo bara lenuView attachment 2290762
Screenshot_20220714-220051.jpg
View attachment 2290763

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
View attachment 2290768
 
Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica

mkuu,hii chai umekunywa juani.

dunia sio duara na umeleta picha ya duara hilo hilo kwa juu unasema ni flat[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Kwa mimi ninavyojua, ilo continent kabla ya dunia kujimega vipande kutoka sehem moja(pangea) lilikuwa sehem ya bara la afrika na pia kuna wakazi walikuwa wakiishi huko.

Pia theory ya flat earth huwa unaweza kupata proof kutoka huko, maana mpka sasa hakuna anayeweza kuleta umbo halisi la dunia nje ya mipicha ya photoshoot kutok kwenye macomputer na picha za uongo kutoka NASA.

Masalia ya mabaki ya wakazi wa zamani ambao baadhi yao hawakuwa wakazi halisi wa dunia hii waweza yapata huko, pia technolojia ya watu wa kale imebaki huko, so wenye dunia yao hawawez ruhusu pua ya mtu ivuke huko kirahisi, watawawekea vikwavo vingi na uongo uongo mwingi wa kuwatisha ili msiendw huko, but behind the scene kuna mazito.

Haya ndiyo niyajuayo.
FB_IMG_16036924518975346.jpg
 
Kwa mimi ninavyojua, ilo continent kabla ya dunia kujimega vipande kutoka sehem moja(pangea) lilikuwa sehem ya bara la afrika na pia kuna wakazi walikuwa wakiishi huko.

Pia theory ya flat earth huwa unaweza kupata proof kutoka huko, maana mpka sasa hakuna anayeweza kuleta umbo halisi la dunia nje ya mipicha ya photoshoot kutok kwenye macomputer na picha za uongo kutoka NASA.

Masalia ya mabaki ya wakazi wa zamani ambao baadhi yao hawakuwa wakazi halisi wa dunia hii waweza yapata huko, pia technolojia ya watu wa kale imebaki huko, so wenye dunia yao hawawez ruhusu pua ya mtu ivuke huko kirahisi, watawawekea vikwavo vingi na uongo uongo mwingi wa kuwatisha ili msiendw huko, but behind the scene kuna mazito.

Haya ndiyo niyajuayo.View attachment 2290830
Tuelezee kidogo kama kuproof picha tu haitoshi.
Dunia duara kuna majira,usiku mchana iyo flati inakuaje.
 
Back
Top Bottom