Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Jua linamove kwa kuizunguka dunia ndio maana jua linazama na kuchomoza. Mfanp ni ulitupe jiwe kwenye maji, je maji yatazama au jiwe litazama? Kinachozama ndio kinachotembea.
Jamaa anakwambia dunia INAZUNGURUKA [emoji1787]

Hizi elimu ni hatari sana, sio kosa lake.

Ameshameza madesa ya kutosha mpaka akahitimu akaitwa INJINIA utamwambia nini akuelewe!

INJINIA tena ana miwani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa anakwambia dunia INAZUNGURUKA [emoji1787]

Hizi elimu ni hatari sana, sio kosa lake.

Ameshameza madesa ya kutosha mpaka akahitimu akaitwa INJINIA utamwambia nini akuelewe!

INJINIA tena ana miwani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaaa, mimi naamini katika lugha historia na mahesabu, linapokuja sayansi naona kabisa ni muda wa kuwa makini sana. Nimedanganywa sana hadi kuhusu uumbaji wa Mungu bado sayansi inamwaga sera.
 
Kutoka marekani mpaka urusi kwa ndege ni km ngapi?? Na umbali wa kutoka urusi mpaka marekani ni km

Kutoka marekani mpaka urusi kwa ndege ni km ngapi?? Na umbali wa kutoka urusi mpaka marekani ni km ngapi?
Kutoka USA kwenda Russia kwa safari ya ndege zenye kasi ya mph 560 ni umbali wa mile 8,909 na inachukua muda wa saa 10.

Ukichukulia kijiografia ya mipaka ya mataifa hayo mawili iliyopo katika bahari ya Pacifiki kwenye visiwa vya Diomede, umbali wa kutoka Marekani hadi Russia ni maili 3.8 hata kwa macho makavu ukiwa Marekani unaona Russia "live".
 
Matakataka ya secondary school. Hizo ndizo shule za kusomea ujinga anazozisemaga FaizaFoxy.

Nikikuuliza umepata wapi haya maarifa, bila shaka utaniambia ulifundishwa na mwalimu wa jografia wa form two.

A dangerous knowledge which is full of rubbish and APPARENT DECEPTION. Hii ni elimu ya IBILISI MDANGANYIFU.

Wewe unaona kabisa DHAHIRI SHAHIRI kwamba JUA LINAJONGEA lakini umeshupaza shingo ati dunia inajizungurusha kwa kuwa tu ulibugia NOTES za secondary school zilizotungwa na akina NAPE NNAUYE na jopo lake la WALAGHAI.

Jameni!! Kaaah! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo lako wewe huna fact's kwenye kila kitu ispokuwa mihemko tu, ukiulizwa basi elezea hicho unachokiongelea ili na watu wengine wapate kujifunza unakimbilia kusema unapotezewa muda ila cha ajabu wewe ndio wa Kwanza Ku quote comments za watu
 
Ni Mwalimu Gani huyo alikufundisha kuwa Bars la Antarctica halíkaliwi na Watu?? Mtafute umuulize Vizuri...na umshauri aache Kazi ya Ualimu!
Sasa haya ndio majibu meusi ya kiafrika.
Kama unajua toa elimu vinginevyo futa makalio pita hivi
 
Back
Top Bottom