Wapinge kwa lipi hivi wewe na mgomba wa ndizi mzuzu ni kipi bora kuwepo duniani?Watakuja kupinga Uto
Na kapigwa goli nneMtandao wa Sofascore umetoa ubora wa walinda milango katika hatua ya makundi ambapo mlinda mlango wa Tanzania, Aishi Manula, amefanikiwa kuwa katika namba nne kwa ubora katika orodha ya walinda milango wote walioshiriki katika mechi za AFCON 2023 hatua ya makundi. Orodha kamili iko hapa:
View attachment 2883236
Ubora wake ni upi?Yote hayo wamezingatia na bado amewekwa kuwa namba nne kwa ubora
Kuna kipa wa Man United sijui nae tuseme vipi.Kipa wa Mali aliyefungwa goli la tobo (Diara) naye amejitahidi, kashika nafasi ya 12
Huyo katia aibu zaidi, kashika nafasi ya 27Kuna kipa wa Man United sijui nae tuseme vipi.
Hivi inawezekana kweli katika michezo ya group stage asifanye save hata mojaHuyo katia aibu zaidi, kashika nafasi ya 27
Mkuu hii list imepangwa numerical kutokana na saves ambazo hao makipa wamefanya, ubora haziangaliwi saves peke ake kuna vigezo vingi vinaangaliwa ikiwemo na clean sheets. Ubora wa hao makipa upo kwenye row ya mwisho inayoonesha average rates ambapo manula ana point 7 akiwa kapitwa na makipa wengi sana.Mtandao wa Sofascore umetoa ubora wa walinda milango katika hatua ya makundi ambapo mlinda mlango wa Tanzania, Aishi Manula, amefanikiwa kuwa katika namba nne kwa ubora katika orodha ya walinda milango wote walioshiriki katika mechi za AFCON 2023 hatua ya makundi. Orodha kamili iko hapa:
View attachment 2883236
[emoji38]Kipa wa Mali aliyefungwa goli la tobo (Diara) naye amejitahidi, kashika nafasi ya 12