Katika hatua ya makundi AFCON, Aishi Manula ashika namba nne kwa ubora miongoni mwa walinda milango wote

Katika hatua ya makundi AFCON, Aishi Manula ashika namba nne kwa ubora miongoni mwa walinda milango wote

Mkuu hii list imepangwa numerical kutokana na saves ambazo hao makipa wamefanya, ubora haziangaliwi saves peke ake kuna vigezo vingi vinaangaliwa ikiwemo na clean sheets. Ubora wa hao makipa upo kwenye row ya mwisho inayoonesha average rates ambapo manula ana point 7 akiwa kapitwa na makipa wengi sana.
Kwa hiyo Manula amefanya saves za kutosha?
 
Sisi tulitaka kuona wanaingia 16 bora
Hatutaki kusikia blah blah zenu
Sjui team ndy yenye jezi nzuri mara kipa bora

Ova
 
Mtandao wa Sofascore umetoa ubora wa walinda milango katika hatua ya makundi ambapo mlinda mlango wa Tanzania, Aishi Manula, amefanikiwa kuwa katika namba nne kwa ubora katika orodha ya walinda milango wote walioshiriki katika mechi za AFCON 2023 hatua ya makundi. Orodha kamili iko hapa:

View attachment 2883236
Hakim Ziyechi kaenda kuchekea chooni.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mtandao wa Sofascore umetoa ubora wa walinda milango katika hatua ya makundi ambapo mlinda mlango wa Tanzania, Aishi Manula, amefanikiwa kuwa katika namba nne kwa ubora katika orodha ya walinda milango wote walioshiriki katika mechi za AFCON 2023 hatua ya makundi. Orodha kamili iko hapa:

View attachment 2883236
Kwa hiyo wewe ulivyoiona hiyo list ukajua inaongelea ubora? Scores zao zipoje?
 
Mtandao wa Sofascore umetoa ubora wa walinda milango katika hatua ya makundi ambapo mlinda mlango wa Tanzania, Aishi Manula, amefanikiwa kuwa katika namba nne kwa ubora katika orodha ya walinda milango wote walioshiriki katika mechi za AFCON 2023 hatua ya makundi. Orodha kamili iko hapa:

View attachment 2883236
Mshaanza ukuda wenu nyie Makolo na wenzenu Uto. Kuwa kipa bora kunatusaidia nini wakati tumetolewa?
 
Back
Top Bottom