Katika hatua ya pili kupambana na Hamas hapo juzi kumbe IDF imegaragazwa Gaza

Katika hatua ya pili kupambana na Hamas hapo juzi kumbe IDF imegaragazwa Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya kurudi kwa intaneti hapo jana wapiganaji wa Hamas wamerusha mafanikio yao makubwa pale jeshi la Israel lilipoingia kwa mbwembwe ndani ya ngome zao.

Hizo video zilizosambaa kwenye mitandao kijamii unaweza ukadhani ni michezo ya play station jinsi vifaru zaidi ya 20 vilivyoripuliwa kimoja baada kingine. Mwishowe vilivyotangulia ikabidi vipindishe kurudi vilikotoka.

Vifaru hivyo navyo havikuweza kuvuka popote vikaishia kuungua chini ya mitende. Hata hivyo vidio zimekaa vizuri na mazingira yote ni ya mpakani mwa Gaza na Israel.

Hivyo vifaru sijui ni matoleo gani lakini vilionekana vingine vikiunguzwa kwa kombora moja na vyengine vikirudiswa kwa moto mwengine kutokea juu huku ndege wakubwa wakishangilia.

Kipigo hicho lazima ndicho kilichoipa hasira Israel kwa uamuzi wa Ellon Musk kuwaunganisha watu wa Gaza na star linki yake.

Baada ya mpambano huowa hapo juzi, jana waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema "The war in Gaza will be long and difficult".
 
Baada ya kurudi kwa intaneti hapo jana wapiganaji wa Hamas wamerusha mafanikio yao makubwa pale jeshi la Israel lilipoingia kwa mbwembwe ndani ya ngome zao.
Hizo video zilizosambaa kwenye mitandao kijamii unaweza ukadhani ni michezo ya play station jinsi vifaru zaidi ya 20 vilivyoripuliwa kimoja baada kingine.Mwishowe vilivyotangulia ikabidi vipindishe kurudi vilikotoka.Vifaru hivyo navyo havikuweza kuvuka popote vikaishia kuungua chini ya mitende.Hata hivyo vidio zimekaa vizuri na mazingira yote ni ya mpakani mwa Gaza na Israel.
Hivyo vifaru sijui ni matoleo gani lakini vilionekana vingine vikiunguzwa kwa kombora moja na vyengine vikirudiswa kwa moto mwengine kutokea juu huku ndege wakubwa wakishangilia.
Kipigo hicho lazima ndicho kilichoipa hasira Israel kwa uamuzi wa Ellon Musk kuwaunganisha watu wa Gaza na star linki yake.
Baada ya mpambano huowa hapo juzi,jana waziri mkuu wa Israel ,Benjamin Netanyahu amesema "The war in Gaza will be long and difficult"
Tuweke ushahidi hivyo vifaru vilivyolipuliwa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kurudi kwa intaneti hapo jana wapiganaji wa Hamas wamerusha mafanikio yao makubwa pale jeshi la Israel lilipoingia kwa mbwembwe ndani ya ngome zao.
Hizo video zilizosambaa kwenye mitandao kijamii unaweza ukadhani ni michezo ya play station jinsi vifaru zaidi ya 20 vilivyoripuliwa kimoja baada kingine.Mwishowe vilivyotangulia ikabidi vipindishe kurudi vilikotoka.Vifaru hivyo navyo havikuweza kuvuka popote vikaishia kuungua chini ya mitende.Hata hivyo vidio zimekaa vizuri na mazingira yote ni ya mpakani mwa Gaza na Israel.
Hivyo vifaru sijui ni matoleo gani lakini vilionekana vingine vikiunguzwa kwa kombora moja na vyengine vikirudiswa kwa moto mwengine kutokea juu huku ndege wakubwa wakishangilia.
Kipigo hicho lazima ndicho kilichoipa hasira Israel kwa uamuzi wa Ellon Musk kuwaunganisha watu wa Gaza na star linki yake.
Baada ya mpambano huowa hapo juzi,jana waziri mkuu wa Israel ,Benjamin Netanyahu amesema "The war in Gaza will be long and difficult"
Hiyo ni bendera ya ISIS, pia Israel haina sale ya jeshi ya hivo, hapo itakuwa Iraq au Afghanistan, au Syria.
 
Ukweli imeniumiza ila kwa upande mwingine imenipa kuuona uhalali wa Israel kushambulia hamasi.

Ila kwa sasa wacha tuone mwisho na nimarufuku kuanzia sasa upande wowote kuomba huruma, Dunia inapaswa kufunga macho na kuwaachia uwanja wababe wawili Israel Vs Palestina
 
Baada ya kurudi kwa intaneti hapo jana wapiganaji wa Hamas wamerusha mafanikio yao makubwa pale jeshi la Israel lilipoingia kwa mbwembwe ndani ya ngome zao.
Hizo video zilizosambaa kwenye mitandao kijamii unaweza ukadhani ni michezo ya play station jinsi vifaru zaidi ya 20 vilivyoripuliwa kimoja baada kingine.Mwishowe vilivyotangulia ikabidi vipindishe kurudi vilikotoka.Vifaru hivyo navyo havikuweza kuvuka popote vikaishia kuungua chini ya mitende.Hata hivyo vidio zimekaa vizuri na mazingira yote ni ya mpakani mwa Gaza na Israel.
Hivyo vifaru sijui ni matoleo gani lakini vilionekana vingine vikiunguzwa kwa kombora moja na vyengine vikirudiswa kwa moto mwengine kutokea juu huku ndege wakubwa wakishangilia.
Kipigo hicho lazima ndicho kilichoipa hasira Israel kwa uamuzi wa Ellon Musk kuwaunganisha watu wa Gaza na star linki yake.
Baada ya mpambano huowa hapo juzi,jana waziri mkuu wa Israel ,Benjamin Netanyahu amesema "The war in Gaza will be long and difficult"
habari ndeeefu hata picha ya kifaru hakuna??
 
Mwanzo 12:2-3

God Bless Israel

🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮
 
habari ndeeefu hata picha ya kifaru hakuna??
Bahati mbaya picha haipandishiki hapa.Mimi nimeripoti tu na amini kwamba huwa sipendi kusema kitu cha ovyo.
Video nimeiona na haina dalili ya michezo ya video.
Kuna maelezo mengine yanayozidi kutoa dalili za uhalisia.Kifaru cha kwanza kuingia matatizoni ni pale baada ya kurushiwa makombora na kukikosa kikaonekana kumtia wahka dereva wake na kikajigonga na mtende ulianguka.Baada ya hapo ndipo ikaonekana vikipigwa kwa wepesi na juu kuna ndege wakubwa kama wale makozi.
 
Na nyie baadhi ya wakristo wenzangu mnaodhani Israel yupo sahihi, ngoja siku kenya aseme kilimanjaro na arusha ni ardhi yake aichukue kwa mtutu, unafikiri watz tutakaa tuwacheke? Si patachimbika
Mambo mengine yanahitaji busara; ardhi itakupeleka wapi, utazikwa nayo? Nashangaa watu wanaogombania ardhi, sijui mipaka mpaka kujitoa uhai; kati ya ardhi na uhai kipi chenye thamani zaidi?​
 
Mambo mengine yanahitaji busara; ardhi itakupeleka wapi, utazikwa nayo? Nashangaa watu wanaogombania ardhi, sijui mipaka mpaka kujitoa uhai; kati ya ardhi na uhai kipi chenye thamani zaidi?​
hatari sana.
 
Baada ya kurudi kwa intaneti hapo jana wapiganaji wa Hamas wamerusha mafanikio yao makubwa pale jeshi la Israel lilipoingia kwa mbwembwe ndani ya ngome zao.

Hizo video zilizosambaa kwenye mitandao kijamii unaweza ukadhani ni michezo ya play station jinsi vifaru zaidi ya 20 vilivyoripuliwa kimoja baada kingine. Mwishowe vilivyotangulia ikabidi vipindishe kurudi vilikotoka.

Vifaru hivyo navyo havikuweza kuvuka popote vikaishia kuungua chini ya mitende. Hata hivyo vidio zimekaa vizuri na mazingira yote ni ya mpakani mwa Gaza na Israel.

Hivyo vifaru sijui ni matoleo gani lakini vilionekana vingine vikiunguzwa kwa kombora moja na vyengine vikirudiswa kwa moto mwengine kutokea juu huku ndege wakubwa wakishangilia.

Kipigo hicho lazima ndicho kilichoipa hasira Israel kwa uamuzi wa Ellon Musk kuwaunganisha watu wa Gaza na star linki yake.

Baada ya mpambano huowa hapo juzi, jana waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema "The war in Gaza will be long and difficult".
Kwa hiyo Yahudi Ameshindwa Israel iko Under Hamas![emoji441]
 
Kwa hiyo Yahudi Ameshindwa Israel iko Under Hamas![emoji441]
Bado haijafikia huko.Benjamin Netanyahu anasema vita vinaendelea ndani ya Gaza japo it is going to be long and difficult.
Ile vidio kama iko sahihi yote basi IDF itakuwa wamebakiwa na jeshi la kupiga kutoka kwenye ndege za F16 na F35.Hivi vikosi vya virafu itakuwa ni shida kusonga mbele.
 
Bahati mbaya picha haipandishiki hapa.Mimi nimeripoti tu na amini kwamba huwa sipendi kusema kitu cha ovyo.
Video nimeiona na haina dalili ya michezo ya video.
Kuna maelezo mengine yanayozidi kutoa dalili za uhalisia.Kifaru cha kwanza kuingia matatizoni ni pale baada ya kurushiwa makombora na kukikosa kikaonekana kumtia wahka dereva wake na kikajigonga na mtende ulianguka.Baada ya hapo ndipo ikaonekana vikipigwa kwa wepesi na juu kuna ndege wakubwa kama wale makozi.
Yaani nimetafuta hata aljazeera ambao ni mahaba niuwe kuliko ww wanawalaani Yahudi kutumia Sponge boys!


View: https://youtu.be/kIGYmHbVxj0?si=3NOv_M0Y5H5-G4E0
 
Bahati mbaya picha haipandishiki hapa.Mimi nimeripoti tu na amini kwamba huwa sipendi kusema kitu cha ovyo.
Video nimeiona na haina dalili ya michezo ya video.
Kuna maelezo mengine yanayozidi kutoa dalili za uhalisia.Kifaru cha kwanza kuingia matatizoni ni pale baada ya kurushiwa makombora na kukikosa kikaonekana kumtia wahka dereva wake na kikajigonga na mtende ulianguka.Baada ya hapo ndipo ikaonekana vikipigwa kwa wepesi na juu kuna ndege wakubwa kama wale makozi.
Yaani nimetafuta hata aljazeera ambao ni mahaba niuwe kuliko ww wanawalaani Yahudi kutumia Sponge bombs!

Hata Vikosi vya Ulinzi vya Israel (IDF) vimesalia midomo wazi kuhusu matumizi ya "mabomu haya!" inaripotiwa kuwa silaha hizi zinaweza kuziba njia za kuingilia na kusaidia kuzuia mashambulizi ya kushtukiza kutoka kwa wanamgambo wa Hamas.

Screenshot_20231029_165053.jpg
 
Baada ya kurudi kwa intaneti hapo jana wapiganaji wa Hamas wamerusha mafanikio yao makubwa pale jeshi la Israel lilipoingia kwa mbwembwe ndani ya ngome zao.

Hizo video zilizosambaa kwenye mitandao kijamii unaweza ukadhani ni michezo ya play station jinsi vifaru zaidi ya 20 vilivyoripuliwa kimoja baada kingine. Mwishowe vilivyotangulia ikabidi vipindishe kurudi vilikotoka.

Vifaru hivyo navyo havikuweza kuvuka popote vikaishia kuungua chini ya mitende. Hata hivyo vidio zimekaa vizuri na mazingira yote ni ya mpakani mwa Gaza na Israel.

Hivyo vifaru sijui ni matoleo gani lakini vilionekana vingine vikiunguzwa kwa kombora moja na vyengine vikirudiswa kwa moto mwengine kutokea juu huku ndege wakubwa wakishangilia.

Kipigo hicho lazima ndicho kilichoipa hasira Israel kwa uamuzi wa Ellon Musk kuwaunganisha watu wa Gaza na star linki yake.

Baada ya mpambano huowa hapo juzi, jana waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema "The war in Gaza will be long and difficult".
Wamepigwa sana,hamas ni jeshi hasa
 
Bado haijafikia huko.Benjamin Netanyahu anasema vita vinaendelea ndani ya Gaza japo it is going to be long and difficult.
Ile vidio kama iko sahihi yote basi IDF itakuwa wamebakiwa na jeshi la kupiga kutoka kwenye ndege za F16 na F35.Hivi vikosi vya virafu itakuwa ni shida kusonga mbele.
Kwani ndege Vita zimetengenezwa Kwa Ajili ya maonyesho?
 
Back
Top Bottom