Katika hatua ya pili kupambana na Hamas hapo juzi kumbe IDF imegaragazwa Gaza

We fala kweli kweli, wayahudi sahii Gaza washamaliza wanaelekea Lebanon na Iran.
Hapa live milio inasikika vipigo vinaendelea mapangoni.
We na matako yako unaleta ushabiki km wa mpira hapa.
Jamaa wako mbele huko,Iran,Lebanon, Syria kazi inaendelea.
 
 
USHAFUNGUA UZI MWINGINE WA KUJIFARIJI ALWAZ ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Duuh waarabu mna maneno๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wafia dini na gubu moyoni. Dunia inahangaika namna ya kuinusuru gaza mtu anazungumzia kuungua vifaru!!! Vichwa vingine sijui Mungu alijaza magodoro hata sielewi.
 
We fala kweli kweli, wayahudi sahii Gaza washamaliza wanaelekea Lebanon na Iran.
Hapa live milio inasikika vipigo vinaendelea mapangoni.
We na matako yako unaleta ushabiki km wa mpira hapa.
Jamaa wako mbele huko,Iran,Lebanon, Syria kazi inaendelea.
 

Attachments

  • 1deb1901-cf38-4603-8853-02b165933115.jpeg
    63 KB · Views: 1
Siku hizi wavaa uchi, wamekuwa marafiki na waislamu?
Muda siyo mrefu kutakuwa na maandamano ya mashoga na wasagaji (LGBT) wakiiunga mkono Palestine. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Unataka huruma halafu bado umeshikilia mateka๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.
๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
Ustaadh unaangaika bure, Waislam sijui mmeshindwa na Gaza tayari mmepoteza, leo jiandaeni kuombeleza zaidi make hadi sasa tayari mmeshapewa warning zaidi ya mara tano Al Quds Hsp inabomolewa leo

Ila naona utaki kusema ukweli unaficha hivyo videos zako ziko wapi, chanel yenu kuu ambayo iko Gaza ni Aljazeera hawana hata hizo videos zako hizo.

Sema ukweli wako hali ni mbaya, raia na hamas naona wameweka kambi na kupanga ambulances nje ya Al Quds Hsp ili kuzuia IDF kuibomoa, mabomu hadi sasa yasharindima close to hospital watu wamechanganyikiwa

Tuone kama IDF itatishwa na raia hao kubomoa al quds, nenda ww ukaongeze idadi pale
 
Msemaji wa hamas, anashangaa na kuwalaani nchi za kiarabu kutokufanya hamsha hamsha katika hii vita.
Wakati wanalianzisha hili sakata, inawezekana walidanganywa wataungwa mkono na nchi za kiarabu.
Kwa mitambo inayoshushwa pale Israeli, sidhani kama kuna muarabu yeyote atakayesogeza pua, zaidi ya uturuki kupiga piga kelele tu badala ya kufanya vitendo.
 
Mambo mengine yanahitaji busara; ardhi itakupeleka wapi, utazikwa nayo? Nashangaa watu wanaogombania ardhi, sijui mipaka mpaka kujitoa uhai; kati ya ardhi na uhai kipi chenye thamani zaidi?​
Ngoja hcho kibanda chako unachoita nyumba Yako..siku Jiran Yako akichukue na kusema ni eneo lake hvo ww ondoka utajua pa kwenda...then tuone kama utafungasha virago na watoto wako pasipo kupambania eneo lako.
 
Ngoja hcho kibanda chako unachoita nyumba Yako..siku Jiran Yako akichukue na kusema ni eneo lake hvo ww ondoka utajua pa kwenda...then tuone kama utafungasha virago na watoto wako pasipo kupambania eneo lako.
Migogoro ya ardhi inatakiwa isuhluhishwe kwa busara ya hali ya juu; anayeng'ang'ania ardhi atatakiwa afanyiwe ushauri wa kielimu ili ajue ardhi kwake si kitu zaidi ya uhai wake, ili muweze kufikia muafaka sahihi.​
 
Ndio wewe unashangilia kubomolewa kwa hospitali.
Ndio waliobomoa ile ya mwanzo wakaua watu 500 halafu wakajidai sio wao,
Madaktari na raia wa Palestina wala hawaogopi tena kufa kwani hawajui wapi wakimbilie.Wamesema watabaki hapo hapo.Kama wakiuliwa hawatalaumika.
Na kama Israel ikiibomoa hiyo hospitali utaona watakavyoendelea kuwindwa duniani kote.Si Urusi tu mpaka Marekani watakuwa wanatafutwa na watu waislamu,wakristo na binadamu wote wenye ubinadamu.Hapo vita itakuwa hawapigani Hamasi peke yao ,watakuwa wamepata msaada waliokuwa hawakuutegemea.
 

Your browser is not able to display this video.

Kichapo hiki walichochezea wayahudi. Na huyo general wao kashikwa:


Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ