Katika hatua ya pili kupambana na Hamas hapo juzi kumbe IDF imegaragazwa Gaza

habari ndeeefu hata picha ya kifaru hakuna??
Hizi vidio ni shida kubaki kwenye mitandao ya kijamii.Nimejaribu kuitafuta kwenye tiktok sijaiona.Mimi sina wechat na telegram.Kama unayo na unaelewa kiarabu itafute kule.
Nilichoona ni huyu jamaa hapo chini anazungumzia mgaragazo mwengine kama ule kule Gaza wa siku ya jana. Nadhani akiwa ameshuhudia.
Soma na ikiwa hufahamu kiarabu tafuta mtu akufasirie.
 
Huyo jamaa hapo anasema Mungu wa Musa na Haruna hajawasahau watu wa Gaza.Anashangaa kifaru cha bei ghali ksichopungua dola milioni 170 kinaripuliwa kirahisi na bunduki aina ya RPG tu na kinaungua chote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…