johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wote tunajua serikali ya Rais Samia ina waziri mmoja na manaibu waziri watano waliopitia kwenye mikono ya Mbowe kimalezi pale Chadema.
Tunaye waziri Kitila Mkumbo na tunao manaibu waziri Mwita Waitara David Silinde, Gekui, Dr Mollel na Patrobas Katambi wote wakiwa wamelelewa na Mbowe.
Pia tunaye mkuu wa mkoa anayeheshimika sana Dkt. Anna Mghwira ambaye alipitia CHADEMA.
Na tunaye naibu waziri mstaafu Juliana Shonza ambaye amelelewa sana na Mbowe pale Chadema.
Hivyo mchango wa mawaziri hawa waliotengenezwa Chadema ni wazi umechangia kwa kiwango fulani mkuu wa nchi kutamani kufanya kazi na wachapa kazi wa upinzani bila ya wao kuhama vyama vyao.
Hongera Freeman Mbowe, hongereni Chadema, hongereni Upinzani.
Kazi Iendelee!
Tunaye waziri Kitila Mkumbo na tunao manaibu waziri Mwita Waitara David Silinde, Gekui, Dr Mollel na Patrobas Katambi wote wakiwa wamelelewa na Mbowe.
Pia tunaye mkuu wa mkoa anayeheshimika sana Dkt. Anna Mghwira ambaye alipitia CHADEMA.
Na tunaye naibu waziri mstaafu Juliana Shonza ambaye amelelewa sana na Mbowe pale Chadema.
Hivyo mchango wa mawaziri hawa waliotengenezwa Chadema ni wazi umechangia kwa kiwango fulani mkuu wa nchi kutamani kufanya kazi na wachapa kazi wa upinzani bila ya wao kuhama vyama vyao.
Hongera Freeman Mbowe, hongereni Chadema, hongereni Upinzani.
Kazi Iendelee!