MTETEZI WA WANYONGE
Member
- May 30, 2014
- 47
- 23
POLE SANA kwa huo usumbufu ndugu yangu,
Ninachokushauri nenda POLISI kamlipoti huyo tena kituono na hapo kituoni uombe kuonana na MKUU wa kituo.Kwa mtazamo wa kawaidashuyo polisi wa awali inaonesha wamelewana na huyo mdeni wako
Ninachokushauri nenda POLISI kamlipoti huyo tena kituono na hapo kituoni uombe kuonana na MKUU wa kituo.Kwa mtazamo wa kawaidashuyo polisi wa awali inaonesha wamelewana na huyo mdeni wako