Katika hili, waafrika tunakosea sana.

Katika hili, waafrika tunakosea sana.

Hehehe kupatwa kwa akili kisoda leo

Kwa hiyo unafikiri kila kitu mahakama ikipitisha ni sawa? Ndio maana kuna cort of appeals, suala kama huyo beberu alikua akifadhili apartheid rule haliwezi kuwa justified easy kwenye mchakato wa kimahakama sababu ya sababu fulani fulani

Kama alikuja Tanzania kama investors wengine anahaki ya kulindwa na sheria za Tanzania kama muwekezaji na vile vile International arbitration, hizo sheria hazitambui beberu wala mambo ya apartheid policy so kisa sheria na lawsuits zilizotumika kuendesha case hazitambui hayo mambo haimaanishi kwamba hayo mambo ni mema na huyo mtu hana hatia.

Akili yako nshakuambia ni kisoda, hata kule guantanamo wapo wanaoteswa miaka na miaka lakini mahakamani hawapelekwi kamwe, ni kutokana na kwamba kuna maslahi ya watu fulani waliyaingilia ambayo sio judicial tangible


Akili kisoda wewe kichwa nazi [emoji57][emoji57][emoji57]
Aisee, hivi wewe ni binadamu pia?. Huyu mtu alishinda na mahakama kuu ikaamuru alipwe, serikali ikakata rufaa katika mahakama ya rufaa, MAHAKAMA ya rufaa ikatupilia mbali rufaa ya serikali na kuamuru alipwe.

Kwahiyo wewe hutaki hata kuheshimu mahakama zetu, wewe ni binadamu kweli?. Sasa ulitaka afanye nini kama amefuata taratibu zote za Tanzania katika kudai haki yake,?.

Ninarudia tena, wewe level yako ya kujadili ni kule kwa akina Wema na Hamisa, huku unatuambukiza ujinga.
 
Hivi kuhusu Miguna Miguna umejibu nini?, mahakama zenu ni hovyo zaidi, zimejaa rushwa na hata zikitoa amri Jubilee hawatimizi wanadharau tu.
1) Server za tume ya uchaguzi hadi Leo hazijafunguliwa, ndio Sababu kubwa iliyosababisha NASA kususua uchaguzi wa marudio, hata mambo yanayohusu nchi yako huyajui vizuri, hovyo kabisa wewe.
2) Kuhusu Miguna Miguna, hadi Leo serikali ya Jubilee imegoma kutii amri ya mahakama kumruhusu arudi NYUMBANI, mahakama zenu ni hovyo zaidi, kwanza zimejaa rushwa, pili Jubilee wanadharau sana MAHAKAMA zenu
Boss umeona hiyo hukumu ya senior magistrate wa kitanzania? Nanukuu, If he(The president) contracts sickness, even not serious, the country currency must lose it is value. Hicho ndicho kifungu cha sheria ambacho alikitumia kumpa sugu kifungo cha miezi mitano. [emoji38] Hebu usilete ubishi baada ya hapo. Ukweli unaujua acha tantarira.
 
Aisee, hivi wewe ni binadamu pia?. Huyu mtu alishinda na mahakama kuu ikaamuru alipwe, serikali ikakata rufaa katika mahakama ya rufaa, MAHAKAMA ya rufaa ikatupilia mbali rufaa ya serikali na kuamuru alipwe.

Kwahiyo wewe hutaki hata kuheshimu mahakama zetu, wewe ni binadamu kweli?. Sasa ulitaka afanye nini kama amefuata taratibu zote za Tanzania katika kudai haki yake,?.

Ninarudia tena, wewe level yako ya kujadili ni kule kwa akina Wema na Hamisa, huku unatuambukiza ujinga.
Shiiiiiiiiiiit foooooool bastard 😏😏😏😏

Hivi Unajua kitu kinaitwa proceedings, judicial proceedings, litigation ,indictment, kama caps zake zinapo sensible ni lazima ashinde

Ndio alikua ni mkulima Tanzania na Tanzania ilimfukuza kimabavu sababu hatukutaka makaburu na sababu ya uchunguzi wa siri ulipofanywa ulionesha anafadhili apartheid but hakukuwa na sheria Tanzania zinazotambua apartheid policy wala sheria zinazosimamia matumizi ya pesa ya muwekezaji nje ya mipaka ya Tanzania, kwa akili yako hapo unafikiri mahakama itafanyaje?

Wewe takataka usinipotezee muda kwanza huna akili 😏😏😏😏
 
Shiiiiiiiiiiit foooooool bastard [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Hivi Unajua kitu kinaitwa proceedings, judicial proceedings, litigation ,indictment, kama caps zake zinapo sensible ni lazima ashinde

Ndio alikua ni mkulima Tanzania na Tanzania ilimfukuza kimabavu sababu hatukutaka makaburu na sababu ya uchunguzi wa siri ulipofanywa ulionesha anafadhili apartheid but hakukuwa na sheria Tanzania zinazotambua apartheid policy wala sheria zinazosimamia matumizi ya pesa ya muwekezaji nje ya mipaka ya Tanzania, kwa akili yako hapo unafikiri mahakama itafanyaje?

Wewe takataka usinipotezee muda kwanza huna akili [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Mbona serikali ilikubali kulipa, kati ya $36M mahakama iliyoamuru alipwe, serikali ilimtafuta na kumuomba apunguze hadi $30M, yeye alikubali na serikali ilikwashamlipa $20M, lakini haihamalizia pesa iliyobaki.

Sasa hivi serikali inakiri kudaiwa na huyo jamaa, na haijakataa kulipa, wabachotaka ni kuruhusu ndege iachiwe wakati mazungumzo ya kumalizia deni yanaendelea.

Wewe hujui lolote zaidi ya kufuata upepo. Sasa hizo taarifa za aperthaid umezitoa wapi?. Wewe nenda kwa kina Wema na Hamisa, akili yako ni ndogo sana kuzungumza mambo kama haya.

Vipi Vanessa amerudiana na Jux?. Vipi Hamisa na Christian Bella wana date au?. Halafu nimesikia Harmonize amejitia WCB ni kweli?.
 
Mbona serikali ilikubali kulipa, kati ya $36M mahakama iliyoamuru alipwe, serikali ilimtafuta na kumuomba apunguze hadi $30M, yeye alikubali na serikali ilikwashamlipa $20M, lakini haihamalizia pesa iliyobaki.

Sasa hivi serikali inakiri kudaiwa na huyo jamaa, na haijakataa kulipa, wabachotaka ni kuruhusu ndege iachiwe wakati mazungumzo ya kumalizia deni yanaendelea.

Wewe hujui lolote zaidi ya kufuata upepo. Sasa hizo taarifa za aperthaid umezitoa wapi?. Wewe nenda kwa kina Wema na Hamisa, akili yako ni ndogo sana kuzungumza mambo kama haya.

Vipi Vanessa amerudiana na Jux?. Vipi Hamisa na Christian Bella wana date au?. Halafu nimesikia Harmonize amejitia WCB ni kweli?.
Eti serikali imemlipa mil 20

Alilipa mamako hiyo hela 😏😏😏
 
Eti serikali imemlipa mil 20

Alilipa mamako hiyo hela [emoji57][emoji57][emoji57]
Jinga wewe, hujui vunalozungumza unaleta ujinga wako hapa, juzi ulimsikiliza Dr. Abbas akisema kwamba deni lenyewe tumeshalimaliza limebaki kidogo sana?.

Tafadhali usijiingize katika "heavy voltage discussions" kama hizi. Nimekuuliza kuhusu habari zinazokufaa, tafadhali jibu kuhusu Jux na Vanessa, au kuhusu Harmonize kujitoa WBC, wewe maoni yako ni nini?, ataweza kusimama pekee kweli?
 
Jinga wewe, hujui vunalozungumza unaleta ujinga wako hapa, juzi ulimsikiliza Dr. Abbas akisema kwamba deni lenyewe tumeshalimaliza limebaki kidogo sana?.

Tafadhali usijiingize katika "heavy voltage discussions" kama hizi. Nimekuuliza kuhusu habari zinazokufaa, tafadhali jibu kuhusu Jux na Vanessa, au kuhusu Harmonize kujitoa WBC, wewe maoni yako ni nini?, ataweza kusimama pekee kweli?
Nilikuambia wewe ni poyoyo 😂😂😂😂😂

Umeamini sasa?
Mbulula na kuhadi wa mabeberu
 
Back
Top Bottom